Bossless
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 1,381
- 2,892
Hatarii
Ndugu watumishi Mtapigiwa simu
1. Utatajiwa TSD namba yako.
2. Majina kwa usahii
3. Account number.
4. Check number
5. Tatehe ya ajira na details muhimu,
Alafu aanakwambia yupo TAMISEMI Dodoma, anakuibia siri umedanganya umri ktk faili lako na kisheria ni kosa la jinai, na upo ktk mchakato wa kuondolewa kazini kwa mujibu wa Rais waliongeza hata tarehe Moja ni wakosaji, mwishowe atakutaka umtumie fedha akubadilishie akidai ni ( SIRI). Kuweni makini watumishi yamenikutaaa
Jioni hii Leo 28/04/2018
C&p
Ndugu watumishi Mtapigiwa simu
1. Utatajiwa TSD namba yako.
2. Majina kwa usahii
3. Account number.
4. Check number
5. Tatehe ya ajira na details muhimu,
Alafu aanakwambia yupo TAMISEMI Dodoma, anakuibia siri umedanganya umri ktk faili lako na kisheria ni kosa la jinai, na upo ktk mchakato wa kuondolewa kazini kwa mujibu wa Rais waliongeza hata tarehe Moja ni wakosaji, mwishowe atakutaka umtumie fedha akubadilishie akidai ni ( SIRI). Kuweni makini watumishi yamenikutaaa
Jioni hii Leo 28/04/2018
C&p