Mama anaupiga mwingi saaaaan....Hiv karibuni kutakuwa na film industry kubwa sana tz...zaidi ya hekta 80 kapewa msanii moja zanzibar, kitu kitaitwa ZOLLYWOOD
Naomba kuuliza,
Kama nikinunua chochote online kwa mfano Aliexpress, je katika kupokea mziogo wangu posta nahitajika kulipa kodi au malipo niliyofanya online yalikuw tax inclusive?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.