Recent content by Free-zy

  1. F

    PreGE2025 Rais Samia, Watanzania tunakupenda sana na tuna imani na wewe. 2025 lazima Ushinde kwa Kishindo

    TUTOKE KWENYE UCHAWA TWENDE KWNYE UKUNGUNI SASA....khaaaaah
  2. F

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mama anaupiga mwingi saaaaan....Hiv karibuni kutakuwa na film industry kubwa sana tz...zaidi ya hekta 80 kapewa msanii moja zanzibar, kitu kitaitwa ZOLLYWOOD
  3. F

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Lazima ajue yeye peke yake, tukijua tutamtoroka kwa kumzidi speed, tutangulie, hata Mwalim Nyrr alifanyaga hvyo hakutakaga watu wajue.....
  4. F

    Makonda inabidi awe gerezani sio mitaani polisi fanyeni kazi yenu

    Mm nampa Kira yangu urais TZ kama atagombe mwamba mwamba sana huyu..
  5. F

    Simba Sc yaomba kuondolewa mechi ya Singida tarehe 8 ili ijiandae na mechi ya Al-Ahly ya tarehe 20/10

    Wanaomba mchezo uondolewe..? Mbona mm sielewi apa uondolewe au usogezwe mbele…? Naona kama singida wameitisha sana simba
  6. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Na Mbez umerud ss hv aiiiseh
  7. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Kwa hali hii mnaonaje Yule rais wa Dar es salaam akapewa kiti….makoda?
  8. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Sheta upo nyumba nyeupe nn…?
  9. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Au ndio Mkataba unatiwa sahihi uku Mbez
  10. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Au ndio kusema mbezi imeuzwa tiari…?
  11. F

    Ulipo Kuna umeme, huyu January Makamba anafeli sana

    Hao wenye umeme saa hz rais wao ni nan kwan…?
  12. F

    Napofanya manunuzi mtandaoni natakiwa kulipia kodi tena?

    Naomba kuuliza, Kama nikinunua chochote online kwa mfano Aliexpress, je katika kupokea mziogo wangu posta nahitajika kulipa kodi au malipo niliyofanya online yalikuw tax inclusive?
  13. F

    Video za ngono zinazovujishwa kila wakati zimekuwa kero sasa

    Tatizo lipo apo kweny kujua.....
  14. F

    Video za ngono zinazovujishwa kila wakati zimekuwa kero sasa

    Kwan alikubalije kurekodiwa......?
Back
Top Bottom