Recent content by free minding

  1. F

    Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

    Kwa watu makini kabla ya kuvuka barabara wanaangalia kushoto na kulia na ndivyo inavyotakiwa hata wakati wa kutoka Maoni yako ni vyema ungesikiliza pande zote,naamin jf kuna magreat thinker ila kunawakati nakwama.
  2. F

    Padri huyu analidhalilisha kanisa Katoliki parokia ya Kirumba

    Kumbuka kila mmoja wetu anamamlaka ya kuishinda Dhambi,kama kweli unania ya dhati kwa huyo paroko usingepost humu,think before post!ubarikiwe
  3. F

    Hawa mabinti wanaozaa hovyo hovyo nje ya ndoa wadhibitiwe mara moja

    Ungefikiria pande zote mbili za mwanamke na mwanaume at least kidgo ingeleta uzito.hapo hujatenda haki kwa Dada zetu.
  4. F

    Wastaafu kupishana lango la Ikulu, kuna nini?

    Duuh ongeza upana na uwezo wako wa kufikiri,uko chini sana kama asilimia 0.12 kwa hiyo post yako
  5. F

    RC Kagera:Wazazi wacharazwe viboko(Audio)

    Sio lazima kiongozi atumie lugha Kali,mbovu,vitisho ili aonekane yupo makini?kiukweli hajatumia lugha nzuri kwa watu anaowatumikia@viongozi ni lazima uwe na uwezo wa kufikiria maneno unayoongea yatakuwa na impact gani.
  6. F

    Kinyanganyiro umeya- UKAWA OYEE!

    Watu wameshikwa papaya,hakuna namna wakubali tu
Back
Top Bottom