Recent content by FREE LUNCH

  1. FREE LUNCH

    Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

    Kanisa Katoliki halifundishi uhuni. Hata Dini zingine na madhehebu mengine ya ki-Kristo hayafundishi mambo ambayo si ya ki-Mungu. Uovu wa kujihusisha na kulawiti (unnatural) ni utashi wa mtu/watu kwa maslahi yao. Na ni kukengeuka, kuasi mafundisho mema. Kwa kuwa matendo mengi yametokana na...
  2. FREE LUNCH

    Kanisa katoliki lijitafakari

    Wakati vyama mbadala vikihangaika kutoa maoni, kukosoa na kupinga mawazo yasiyokuwa na manufaa kisiasa na kiuchumi hayakusikilizwa. Hata wale baadhi yao waliojitokeza kukemea na kuonya walionekana kuwa na mtazamo binafsi kwamba utashi binafsi si maamuzi na kauli ya taasisi nzima kuanzia za...
  3. FREE LUNCH

    Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

    Hii inafanana na kesi ya wapendanao wawili wanataka kufunga ndoa. Mmoja kamwambia mwenzake wakapime VVU. Kufika kwa Dr. Wanataka wapewe cheti /maandishi kuwa wako salama. Dr. kawatizama kisha akauliza swali. Mnataka mumpe nani majibu ya vipimo? Waliondoka hata bila ya kusema chochote. Sasa hii...
  4. FREE LUNCH

    Jenerali Ulimwengu challenges Makamba & Kinana... "Defend your innocence or be declared guilty"

    It is interesting that the information police in that directorate have kept their tail firmly between their legs as far as this man’s transgressions are concerned.
  5. FREE LUNCH

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Jf, The home of Great Thinkers takes lead and others follow. Huyu Mpk alienda mbali sana. Ni katika kujenga.
  6. FREE LUNCH

    Bungeni Dodoma: Spika wa Bunge Job Ndugai, amvua Ubunge Tundu Lissu(CHADEMA) Mbunge wa Singida Mashariki kwa kosa la utoro

    Mambo mawili yanawezakuwa. 1. Kweka 'Kotapini' 2. Kupata fedha ya kesho kutwa 2020
  7. FREE LUNCH

    SPIKA: Tumesitisha kufanya kazi na CAG. Panga pangua Kamati za Bunge yaanza

    The seniors and first class citizens (wazalendo) should not be trusted any more; now and then. CAG ana siri gani?
  8. FREE LUNCH

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kwa niaba ya wanaJF wenzangu tunakataa maumbo haya, labda tuelekeze kwa wachovu wa FB.
  9. FREE LUNCH

    GE2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

    Eti, kwani kuna mtu kachukizwa na hii habari!?
  10. FREE LUNCH

    Mke wangu ana mahusiano na dereva wa bodaboda, mbaya zaidi anamuhonga pesa zetu za akiba

    Huyo mwanaume usidhani kasamehe. Anajua anachokifanya.
  11. FREE LUNCH

    Serikali: Eneo la mlima Oldonyo Lengai siyo eneo salama kwa Maisha ya binadamu na mifugo

    Na vyombo mbaIimbali vya habari vitangaze mara kwa mara. Kuna watu ni wabishi hasa taarifa za Kupitia mitandao wanaona kama ni uongo.
  12. FREE LUNCH

    Sheria Mpya ya Mafao: Mama aangua kilio ndani ya ofisi za PSSSF!

    Wabunge wako kimya na viongozi wote wa kisiasa kwa sababu sheria hii haiwagusi. Kila mtu na abebe msalaba wake.
Back
Top Bottom