Hiyo zambarau ni ACT huo udongo wa kaki ni Chadema. Act inatirika kwenda msitu wa kijani ambao ni CCM yaani inaumwagilia ili ukue zaidi. Kwa hiyo ACT inapitia udhaifu wa CDM kuineemesha CCM
Lile jamaa sijui likuu la chuo lina kiburi sana halafu ni lishamba. Unajibu vipi kiholrla tu mamlaka. Kama umekuja huku kulitetea liambie liache upuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.