Recent content by Free ideas

  1. Free ideas

    Mwakilishi wa Palestina Umoja wa Mataifa aangua kilio!

    Mshirikishe Allah bro kwani ile albadir skuizi haifanyi kazi??
  2. Free ideas

    Kwanini mtu wa Dar anachanganyikiwa ukimwambia unaenda kumtembelea?

    Huku hakuna mashamba ya viazi kila kitu kununua
  3. Free ideas

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu awajibu Ufaransa, Uingereza na Canada

    Nyie mnaochinjia watu nyuma ya shingo huku mnarekodi ndio mnajua vita?. Mkipigwa mnatanguliza watoto na wnawake mbele
  4. Free ideas

    January akihamia ACT wazalendo sijui itakuwaje, yule jamaa ni Fundi sana wa mbinu za Ushindi

    Ila we jaman mbona umeitoa mapema sana hi si tulisema hadi mwezi wa saba ndio tuanze kuleta huku
  5. Free ideas

    Bado Jambo Moja tu ambalo Kanisa Katoliki linapaswa kufanya na ni Vema ikalifanya

    Sababu ya kufia msalabani ilikua nini?
  6. Free ideas

    Amka!! Mwamposa, Suguye, Lusekelo, Kuhani Mussa na wenzao ni manabii wa uongo

    Hao wa ukweli wako wap?. Msiwe kama wajinga hakuna cha mungu wala shetani. Ishini kadrisheria za nchi zinavyosema achananeni na mambo ya kufikirika
  7. Free ideas

    Kipanya Katunix Ya leo Inamaanisha Nini ACT kuwa Chama Kikuu cha Upinzani?

    Hiyo zambarau ni ACT huo udongo wa kaki ni Chadema. Act inatirika kwenda msitu wa kijani ambao ni CCM yaani inaumwagilia ili ukue zaidi. Kwa hiyo ACT inapitia udhaifu wa CDM kuineemesha CCM
  8. Free ideas

    Rais Samia, ondoa RC Tabora na DC Nzega, hawajitambui

    Kwa hiyo ikitokea hata chuo kinaungua moto wawasiliane na UDSM waje kuzima et?
  9. Free ideas

    Rais Samia, ondoa RC Tabora na DC Nzega, hawajitambui

    Ndio aende amelewa? Au wewe hukuliona lilivokua
  10. Free ideas

    Rais Samia, ondoa RC Tabora na DC Nzega, hawajitambui

    Lile jamaa sijui likuu la chuo lina kiburi sana halafu ni lishamba. Unajibu vipi kiholrla tu mamlaka. Kama umekuja huku kulitetea liambie liache upuuzi
Back
Top Bottom