Recent content by fredrick swai

  1. fredrick swai

    Naweza kujiunga na degree ya udaktari nikiwa na diploma ya clinical medicine?

    Ni ya mwaka wa mwisho semister 1 na 2 average yake ndio inakupeleka mkuu
  2. fredrick swai

    Kipi chuo kizuri kusomea Clinical Medicine au Laboratory Technology?

    Kolandoto college of health science shinyanga
  3. fredrick swai

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Makonda ni jembe anapaswa kuungwa mkono na watz wote maana hamuogopi mtu wala chama chochote...yy ni kun'gata tu..viva makonda
  4. fredrick swai

    Matokeo ya diploma za afya kwa wahitimu yanatoka lini?

    Wiki ijayo yatakua yametoka maana yameshatumwa vyuoni...yalichelewa kwa sababu kulikua hamna fedha za kusahihisha mitihani yao
  5. fredrick swai

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Na ww ulienda au unaleta uzushi??
  6. fredrick swai

    Tukisema wanajaziwa mafuta mnakataa haya angalieni wenywe

    Kwa iyo wakienda kujaza mafuta wanakua wamejaziwa??
  7. fredrick swai

    Siyo lazima kubadilisha chama ili kuleta mabadiliko ya Maendeleo

    Lazima kubadilisha mfumo ndugu hata yesu akiwa rais wa ccm kwa mfumo uliopo lazama awe fisadi
  8. fredrick swai

    Nani Anaweza Kumrithi Prof. Lipumba?

    Maalim seif hamad anafaa sana
  9. fredrick swai

    Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

    Katuvunja sana moyo wapenda mabadiliko
Back
Top Bottom