JIBU:hapo zamani kipindi cha vita ya wahehe na wajerumani ili askari awe JASIRI katika jeshi la Mkwawa lazima ale kitoweo cha mbwa ili kuthibitisha ujasiri wake na hii ilitumika kwa wanajeshi Tu :kutokana na histiria hio hadi leo utasikia Wahehe wanakula mbwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.