Wadogo mtihani lazina ukawakamatr kwenye vichuguu au magogo, ila wakubwa wao wapo wengi ukiwatega unawapata. Fahamu namna ya utegaji Nyuki ili waingie kwenye mzinga
Ili ufuge nyuki lazina ukiasha andaa mozinga uwatege waigie ndani yake hapo ndipo utawafuga. Kufahamu zaidi pitia andiko hili hapa kwenye link: Fahamu namna ya utegaji Nyuki ili waingie kwenye mzinga
Ninamshukuru Mungu kwa kuibuka Mshindi wa Kwanza wa Wazalishaji na Wasindikaji Mazao ya Nyuki kwenye Maonesho ya Nanenane 2025 Kanda ya Ziwa Magharibi yaliyofanyika Nyamhongolo, Mwanza. Hakika kwangu ni hatua muhimu.
Hapa nikizungumza na Mkuu wa Wilaya Nyamagana ambaye alitembelea Nanenane...
UNAJUA FAIDA YA KUWEKA KIKINGA MALKIA KWENYE MZINGA WAKO?
Wafugaji wengi wamekuwa wakifuga Nyuki kwa kutumia mizinga yenye chemba moja (Single Box) badala ya ile ya chemba mbili (Double Box) maarufu kwa jina la Mizinga ya Ghorofa au kwa jina la kitalaamu la #Langstroth. Ili kutumia Kikinga...
1. Ni eneo gani unakogugia?
2. Na je, umekwenda kuvuna Juni unatambua Nyuki wakiingia lini kwenye Mizinga yako?
**Kuepuka kukuta Asali imeliwa tunashauti kuna na Mizinga yenye vikinga Malkia na madume (Queen Excluder) Hii itakusaidia Sana maana ukiwa na Mizinga Single bos isiyo na Kikinga...
Ni sahihi Nyuki anahitaji eneo lenye maji, lakini kama shamba lako lilo mbali na mto haina maana kwamba usifuge. Jenga mabakuli na hakikisha yanakiwa na maji kiangazi.
Moja: Ukiwa na Kichanja au Kibanda, hakikisha unatega Nyuki nje (kwenye miti) kisha iliingia Nyuki ndipo uihanishie kibandani.
Nyuki hawawezi kuingia kwa wingi kibandani na kwa haraka kama kwenye miti.
Mbili: Kibanda au Kichanja lazima miguu yake inayogusa ardhi iandaliwe kudhibiti wadudu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.