Mkuu wa shule kubwa alosoma Felix Mkosamali na Inayofadhiliwa na Ma Salma Kikwete Bw Ndele Mwaselela amewatapeli waalimu na wazazi huko DUMILA NA DAKAWA mkoani MOROGORO. Waalimu walipaswa kulipwa tangu tarehe23 Nov 2014 lakin mpaka sasa hajawalipa waalimu hao na hata simu zao hapokei.
Aliahidi...
Kaka huyu binti anakupenda kwa dhat na ndo maan wewe ulijarib yeye akakuchunguza akaona wafaa ndo maana akakutafta. Kutoa namba yako ni upendo alonao kwako mi nampongeza ana akili na anaepusha malumbano
Hivi unapotakiwa kutuma covering letter na CV unfanyaje hasa upande wa COVER LETTER nayo unaweza ku-attach kama CV ama ndo maelezo unayooandika kabla ya ATTACHMENT?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.