https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-kuwa-katika-hedhi-inasababisha-kunyauka-kwa-mboga-na-matunda.2010649/
Kasome maoni ya watu hapo, jamiicheck wenyewe wameshindwa kukanusha.
Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Asilimia 16 wanapiga kelele mitandaoni, ni kwakua ukipiga kelele mtaani defender inakuja fasta.
Wanaongea hivyo ila moyoni stress zimewajaa, wanaujua ukweli,
Hiyo asilimia 60 ya aslimia 16 inatoka mtaani, kwaiyo ni kama sample inawakilisha wale waliopo mtaani wasio na uthubutu wa kupiga kelele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.