imefika kipindi vijana wengi hasa wa kiume tunajisahau sana kufikia hatua hatua ya kula ujana tukiwa mikononi mwa wazazi wetu, je umri sahihi wa mtoto wa kiume kuanza kuishi mbali na wazazi wake ni upi?
Habarini wakuu.
Nimekuwa najiuliza sana juu ya hawa ndugu zetu, wanaume wenzetu wa kuzaliwa ambao baadae wamekuwa wakijitofautisha na sisi kwa kuamua kuishi na kufanya matendo yaendayo na jinsia ya kike.Je, ni hawajakubali kuzaliwa hivyo, je ni wanafurahi kuwa hivyo, au ni nini sababu hasa...
Katika pita pita zangu nkakutana na mwanaume anafua nguo za kike, hata nilipojaribu kusogeza karibu mboni za macho yangu ili kushuhudia kitendo hiki jamaa alichokuwa anakifanya, ndipo macho yetu yalipokutana na kumuona jamaa akijiskia aibu na kuanza kuangalia chini, naam hali hii ilinifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.