Tareh 9.8.2018..nilpeka barua ya kucancell jina langu katika chuo nilchokua nasoma awal na ilipofika ya kuapply vyuo nkaappy Tena chuo kimoja tu lakin tcu Bado hawaja kancel jna langu Mana kile chuo nilichomba bado naambiwa ninacode namba ya chuo nilchokua nasoma mwazo Apo ndo shida ilipo ndigu
Naomba msaada wako ndugu nimepeleka barua ya kunitoa kwenye system tarehe 9.8.2018..had Leo Bado hata sjui nfanyaj na chuo nilichoomba naambiwa ninacode namba ya chuo Cha awali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.