Recent content by frankmilanz

  1. frankmilanz

    Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

    Wew kinacho kuuma nn hasa Hadi mishipa ya shngo inasimama
  2. frankmilanz

    RC Makonda aandaa Iftar kwaajili ya wakazi wa Dar es salaam

    Kwahyo unaona SAUT NI CHUO CHA KATA?
  3. frankmilanz

    Natafuta mume

    Jamani
  4. frankmilanz

    Msaada wa application awamu ya pili

    Nahtaj kusoma course ya IT bt ni art HGK ..inawezekana na chuo kp Bora kwahyo koz
  5. frankmilanz

    Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

    Sawa nashukuru NPO Dom ntamwagza mtu
  6. frankmilanz

    Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

    Tareh 9.8.2018..nilpeka barua ya kucancell jina langu katika chuo nilchokua nasoma awal na ilipofika ya kuapply vyuo nkaappy Tena chuo kimoja tu lakin tcu Bado hawaja kancel jna langu Mana kile chuo nilichomba bado naambiwa ninacode namba ya chuo nilchokua nasoma mwazo Apo ndo shida ilipo ndigu
  7. frankmilanz

    Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

    Naomba msaada wako ndugu nimepeleka barua ya kunitoa kwenye system tarehe 9.8.2018..had Leo Bado hata sjui nfanyaj na chuo nilichoomba naambiwa ninacode namba ya chuo Cha awali
  8. frankmilanz

    SEC ROUND UDSM

    Mm nilipeleka barua tarehe 9.8.2018 Hadi Leo hawajanitoa kwenye system nifanyajee
  9. frankmilanz

    Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

    Tcu mungu Ana waona mnavyo nifanyiaa
Back
Top Bottom