Recent content by frankbrownfrancis

  1. F

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    wewe duni hii sasa ni digital wewe bado uko kwenye majini kweli ndio unao hama kila siku nyuma unakosa maelewano namajirani zako kwa kuaminihivyo.imechelewa
  2. F

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    na maghorofa anaojenga mchina dar mnasemaje na daraja la kigamboni je nalo.watu wengine mawazo mafupi halafu anataka amjadili mtu mwenye mamillioni yake.jadilieni maisha mlo nyumbani watoto wanalia njaa.
  3. F

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    nicas mtei na wezio hangaikeni na mipango ya maisha yenu.kula yenyewe mnaonekana taabu halafu unamjadili mtu milionair
  4. F

    Baada ya kimya kingi hatimae Abood Bus Service aleta bus mpya!

    wanao amini uchawi na waonea huruma wanaoamini uchawi hawa ndio wanaouwa ndgu zao na mpaka kuwakimbia baba zao familia yao kuhama nyumba kila siku .biashara ni akili na mtaji mipango .kama biashara ya mabasi ni huduma nzuri kwa wateja.na kama ajali duniani kote zinatokea poleni sana mnao amini...
  5. F

    LOWASA ndio chaguo bora 2015.

    Wengine chuki zao haya najua leo mnamtukana yeye ni President 2015 .Hadithi ya kufa kwa kiongozi ,hakuna wa kuziba pengo na alikuwa mtu mpole msikiifu kwa hakuna mfano wake .2015 mtamsifia tu mkitaka msitake ndio rais wa ccm.
  6. F

    LOWASA ndio chaguo bora 2015.

    Jibu la richmond wanalo waliompeleka Obama pale kwenye mitambo? Lowassa wanini?
  7. F

    Morogoro: CCM Yabariki tozo la 50,000 TZS Kama ada ya Kuandikishwa STD 1

    Wewe tatizo hukwenda shule unafananisha maamuzi ya wazazi na Tanesco? Pole sana lakini najua kazi unayoweza wewe kushindwa hoja utakuja ngumi maana ndio mila yenu.
  8. F

    Wafuasi wa CCM na CHADEMA wapigana Morogoro

    Duuu naona chadema watatoa mwaka huu bingwa wa ngumi maana kila kukicha ngumi mkononi ! Haya wananchi hao ndio wanaotaka kushika dola2015.
  9. F

    Wafuasi wa CCM na CHADEMA wapigana Morogoro

    Chadema mmepewa mkanda wa ngumi na medali tutawapa francis cheka maana hata bungeni ni hayo hayo wananchi hawashangai kwa matukio kama haya kutokea chadema wakiwepo.
  10. F

    Wafuasi wa CCM na CHADEMA wapigana Morogoro

    Hongera mbunge wa ccm moro kwa kujali wananchi wako .
  11. F

    Wafuasi wa CCM na CHADEMA wapigana Morogoro

    Hata mbuzi utakuwa umewapa hadhi naona sawa na ngiri .
  12. F

    Wafuasi wa CCM na CHADEMA wapigana Morogoro

    Kumbe ukiandika dhidi ya chadema kwenye jamii forum unafutwa du hongereni sana. Kutawala chadema labda Afica kusini makaburu watawale tena ndio chadema mtawale mtaishia kwenye jamii forum.
  13. F

    Morogoro: CCM Yabariki tozo la 50,000 TZS Kama ada ya Kuandikishwa STD 1

    Chadema kila mahali wao vurugu aibu mpaka mnampiga mzazi wa shule kwa kosa lipi kukataa kushawishika na chadema.
  14. F

    Morogoro: CCM Yabariki tozo la 50,000 TZS Kama ada ya Kuandikishwa STD 1

    Michango ya shule haijapangwa na serikali ni maamuzi ya mkutano wa wazazi wenyewe ndio wanaamua iwe shilingi ngapi na ndio maana umemsikia mbunge amekemea mtoto kurudishwa nyumbani anacho au hana mtoto anaingia shule .hongera mbunge kaza buti wananchi tuko nyuma yako.
  15. F

    Afande sele (chadema) kupambana na aziz abood (ccm) ubunge 2015 moro mjini

    Duuuu kwanza ni tusi kwa wananchi wa moro mjini huyo mlaa unga kuomba ubunge sio ubunge hata mwenyekiti wa mtaa hapati ameshindwa kuongoza familia yake ataweza wananchi. Msidanganyane kwa jimbo la morogoro mjini wa kumgoa Abood hajazaliwa mpelekeni hata slaa au Mboye agombee na mtapoteza...
Back
Top Bottom