Hello fellas.
Kuna fursa ya biashara ya playstations/games
Watu wengi wamekuwa wakiuziwa games kwa bei ghali sana pia wakiuziwa mashine ambazo sio imara.
Kuna mahali Kariakoo wanauza games kwa bei nzuri na mashine zao imara.
Ninachopenda toka kwao wanauza games original na wanazo mashine...
Habari za kazi.
Pole na majukumu mazito ya mkoa wetu wa Dar es salaam, wote tunaona ni kwa namna gani unapambana na kujituma kwa dhati kuijenga Dar es salaam mpya.
Mheshimiwa Paul Makonda kwa muda sasa sisi kama wahitimu wa vyuo vikuu tuishio katika mkoa wako ambao hatujafanikiwa kupata ajira...
mornie brother.
pole sana kwa hali hiyo, but changamoto uliyo nayo ni hii.
1. uume umepungua size kwa sababu ya punyeto, hapa urefu na wembamba wa uume lazima uuhusike kama kweli ulikuwa hodari katika punyeto.
2. nguvu za kiume zimepungua kutokana na kuharibu misuli ya uume, hivyo uume huenda...
habari wadau.
nahitaji fridge mpya double door kwa matumizi ya nyumbani.
nasubiri ofa zenu.
napatikana dar.
picha ni muhimu, pia kama kuna mtu mwenye ushauri au wap naweza pata fridge kwa bei rahisi
tell me. thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.