Ooh,mi nliona waraka unasema kwa form five wataanz ripot kuanzia july 8 hadi july 28,then baada y hapo kama atakua hajaripot ndio nafas yake itachumuliwa n mwingne ,lakn kuhusiana na kudhibisha nafas aliyo changuliwa mwanafunz nkwa wale walio chaguliwa vyuo tu ,na sio form five kwa form five...
Duuh jf imeingiliwa na watoto kweli ,kifaranga kama huyu unapata anapata mda kiaje wa kuandka thread ndefu kama hii,eti na soma PCB ,nyaaaa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh jf imeingiliwa na watoto kweli ,kifaranga kama huyu unapata mda kiaje wa kuandka thread ndefu kama hii,eti na soma PCB ,nyaaaa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.