Sasa we ulitaka Mkisto awe baba wa Taifa la Zanzibar huoni Mohamed Said anavyo angaika na Mwalimu Nyerere kwa nini awe baba wa Taifa mwenye macho na akili haambiwi tazama watu wa Pwani kutetea uongo ni sahihi kwa imani yao maadamu lina maslahi kwao.
Hawezi kuja tena kutetea uongo wake ila anachokwepa hapa ni mambo mawili la kwanza
(1)Ni aibu na fedheha kumtangaza mgeni John Okello kuwa ndiye mwanamapinduzi.
(2)Lingine ni dini yake haiwezekani Zanzinzibar inajulikana nchi ya Kiislamu halafu umtukuze John Okello hawako tayari ndiyo maana...
Mwalimu tusaidie kuwaelimisha hawa machawa madhara ya ukabila maana ndivyo walivyoelekezwa na chama chao, ccm wanakoelekea ni kutugawa kikabila ili waendelee kututawala.
Usinilazimishe kuwa Mchaga kila mtu ana haki ya kukosoa na kusifia jambo lolote ndani ya nchi yake Tanzania kama ambavyo wewe una haki ya kusifia maendeleo ya Kilimanjaro ambayo ni usanii tujadili yaliyo mbele yetu kwani huwezi kunijibu bila kunibagua kabila langu maendeleo ni ya Watanzania sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.