Asikuambie mtu, unaweza kudhani uko smart sana, yaani na experience yako yote ukanasa pasipo. Kuna mashetani ndani ya majoho ya malaika, mbwa mwitu ndani ya ngozi za kondoo. Ila omba usife kabla hujakutani nao. Its a life lesson!
Binti nilimpenda ila nikabaini ni mdogo sana, ukubwa wa umbo tu, nikasema nisubiri akuwe kuwe kidogo, then nikakutama na mama mtu yakatokea yaliyotokea. Ila note one thing nilipoingia kwenye mahusiano na mama mtu nikawa nimeshaamua yule binti atakuwa rafiki tu, shida kila binti alivyokuwa...
Nikitizama nyuma naona michirizi ya damu, mioyo iliyoumizwa, nami ni mmoja wa wahanga. Nitakuwa muongo nikisema sijaumiza wengine na mimi. Nimekuwa na wanawake kadhaa, leo niwashukuru kwa kunipenda kwa dhati, japo kuwa mlinitenda na niliowatenda....., LEO NASEMA ASANTENI SANA KWA MAPENZI YA...
Hakuna uhusiano kati ya kudai uhuru wa Jamhuri ya Zanzibar na ukristu! Serikali ya muungano na CCM si chama cha/serikali ya wakristu na wala wakristu hawahusiki kwa namna yeyote na madai ya uhuru wa Zanzibar.
Kitendo cha kuchoma makanisa ni ushambulizi wa wazi wazi dhidi ya UKRISTU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.