Recent content by frank m

  1. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Ntahakikisha hili my heart
  2. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Myheart vuta subira
  3. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Vuta subira mkuu, ntamwaga tuu
  4. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Thnx debito, napata moyo zaidi
  5. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Asikuambie mtu, unaweza kudhani uko smart sana, yaani na experience yako yote ukanasa pasipo. Kuna mashetani ndani ya majoho ya malaika, mbwa mwitu ndani ya ngozi za kondoo. Ila omba usife kabla hujakutani nao. Its a life lesson!
  6. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Ati Meritta, kuna ukweli kiasi flani hapo! Ha haa haaa, ingekuwa poa sanaaaaaa
  7. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Binti nilimpenda ila nikabaini ni mdogo sana, ukubwa wa umbo tu, nikasema nisubiri akuwe kuwe kidogo, then nikakutama na mama mtu yakatokea yaliyotokea. Ila note one thing nilipoingia kwenye mahusiano na mama mtu nikawa nimeshaamua yule binti atakuwa rafiki tu, shida kila binti alivyokuwa...
  8. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Aksante figganigga
  9. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Thank you for the encouragement, utakuwa kati ya watu nitakowashukuru kikikamilika
  10. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Tell me Afrodenzi, naweza kuandika kitabu? Ni ndoto yangu kubwa tena niandike maisha yangu ila sitajitaja jina
  11. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Imebidi nicheke tu sweet lady!
  12. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    I will take this into consideration Hute, aksante
  13. F

    Nadhani mlinipenda kwa dhati, asanteni

    Nikitizama nyuma naona michirizi ya damu, mioyo iliyoumizwa, nami ni mmoja wa wahanga. Nitakuwa muongo nikisema sijaumiza wengine na mimi. Nimekuwa na wanawake kadhaa, leo niwashukuru kwa kunipenda kwa dhati, japo kuwa mlinitenda na niliowatenda....., LEO NASEMA ASANTENI SANA KWA MAPENZI YA...
  14. F

    John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Ni kwa kutoa kauli kuwa Rais Kikwete ni dhaifu! Amekataa kufuta kauli yake na ametolewa nje ya Ukumbi.
  15. F

    Naitisha maandamano kupinga kuchomwa makanisa Zanziba

    Hakuna uhusiano kati ya kudai uhuru wa Jamhuri ya Zanzibar na ukristu! Serikali ya muungano na CCM si chama cha/serikali ya wakristu na wala wakristu hawahusiki kwa namna yeyote na madai ya uhuru wa Zanzibar. Kitendo cha kuchoma makanisa ni ushambulizi wa wazi wazi dhidi ya UKRISTU...
Back
Top Bottom