Hata mimi sina itikadi ya chama,ila naangalia mtu anaeweza kutuvusha,sasa unataka mabadiliko yapi ndugu,vichwa vilevile,kutoka ccm mawazo yaleyale,ukosefu wa uwadilifu uleule ndugu,usiwe mfia chama, ama shabiki tu, angalia uwezo wa mtu,angekua slaa kweli ningesema mabadiliko kwani jamaa ni...