Magufuli na ikulu

Magufuli na ikulu

Kimsingi simkubali lowasa hata kidogo hata wale wanaomfuata wengi wao ni kutoka ukanda wao,lowasa hana vision pia hana mission kwa taifa letu kinachombeba ni umaarufu wa pesa,na vijana wengi kukosa imani na ccm,kiukweli jamaa hana uwezo wowote kiongozi,laiti slaa angekuwepo angelamba kura yangu kwa kosa walilofanya chdm kumweka fisadi lowas inadhihirisha kuwa wao lengo ni kuchukua dola lakin hawana misingi yoyote ya kimaadili,sasa uwadilifu wao waliokua wanasema upo wapi tuendelee kuiamini chadm?rudi nyuma kijana mwenzangu chagua magufuli uwezo anao akiboronga tumdilete miaka 5,
Kama huko ccm hakuna demokrasia unadhani baada ya kuwekwa madarakani watajali maslahi ya wananchi? tutaonekana sisimizi.
 
Demokrasia ya nini,yakutomkubali lowasa ndo unasema demokrasia,funguka ndugu yangu wengi wanaoama ni wale waliokosa nafasi ya kutawala,kwa akili yako wew unaona ndani ya chdm ndo kuna hiyo demokrasia,upuuzi mkubwa,nimewachukia chadm
 
Demokrasia ya nini,yakutomkubali lowasa ndo unasema demokrasia,funguka ndugu yangu wengi wanaoama ni wale waliokosa nafasi ya kutawala,kwa akili yako wew unaona ndani ya chdm ndo kuna hiyo demokrasia,upuuzi mkubwa,nimewachukia chadm
Sina chama, ila team mabadiliko, bahati nzuri mungu ameleta ukawa, kiboko chenu. Mwaka huu mtatukana sana ila mabadiliko lazima.
 
Hata mimi sina itikadi ya chama,ila naangalia mtu anaeweza kutuvusha,sasa unataka mabadiliko yapi ndugu,vichwa vilevile,kutoka ccm mawazo yaleyale,ukosefu wa uwadilifu uleule ndugu,usiwe mfia chama, ama shabiki tu, angalia uwezo wa mtu,angekua slaa kweli ningesema mabadiliko kwani jamaa ni mwadilifu pia ni mpambanaji,sasa kichwa maji lowasa ataleta mabadiliko yapi,fikil mara mbili kijana mwenzangu.
 
Kimsingi simkubali lowasa hata kidogo hata wale wanaomfuata wengi wao ni kutoka ukanda wao,lowasa hana vision pia hana mission kwa taifa letu kinachombeba ni umaarufu wa pesa,na vijana wengi kukosa imani na ccm,kiukweli jamaa hana uwezo wowote kiongozi,laiti slaa angekuwepo angelamba kura yangu kwa kosa walilofanya chdm kumweka fisadi lowas inadhihirisha kuwa wao lengo ni kuchukua dola lakin hawana misingi yoyote ya kimaadili,sasa uwadilifu wao waliokua wanasema upo wapi tuendelee kuiamini chadm?rudi nyuma kijana mwenzangu chagua magufuli uwezo anao akiboronga tumdilete miaka 5,


Unasema uwezo anao halafu unasema akiboronga, hujielewi wewe!

Vua ugamba vaa utaifa.
 
Kimsingi simkubali lowasa hata kidogo hata wale wanaomfuata wengi wao ni kutoka ukanda wao,lowasa hana vision pia hana mission kwa taifa letu kinachombeba ni umaarufu wa pesa,na vijana wengi kukosa imani na ccm,kiukweli jamaa hana uwezo wowote kiongozi,laiti slaa angekuwepo angelamba kura yangu kwa kosa walilofanya chdm kumweka fisadi lowas inadhihirisha kuwa wao lengo ni kuchukua dola lakin hawana misingi yoyote ya kimaadili,sasa uwadilifu wao waliokua wanasema upo wapi tuendelee kuiamini chadm?rudi nyuma kijana mwenzangu chagua magufuli uwezo anao akiboronga tumdilete miaka 5,
Kwa hiyo hujui lengo kuu la chama cha siasa?
 
Hata mimi sina itikadi ya chama,ila naangalia mtu anaeweza kutuvusha,sasa unataka mabadiliko yapi ndugu,vichwa vilevile,kutoka ccm mawazo yaleyale,ukosefu wa uwadilifu uleule ndugu,usiwe mfia chama, ama shabiki tu, angalia uwezo wa mtu,angekua slaa kweli ningesema mabadiliko kwani jamaa ni mwadilifu pia ni mpambanaji,sasa kichwa maji lowasa ataleta mabadiliko yapi,fikil mara mbili kijana mwenzangu.
Tunaambiwa uchumi umekua na pato la taifa limeongezeka, na nchi ina utajiri mwingi. lakini mtanzania wa kawaida haoni mabadiliko chanya katika maisha yake. Hilo ongezeko la pato la taifa linaenda wapi kama si kwa viongozi waliopo?
 
Hata mimi sina itikadi ya chama,ila naangalia mtu anaeweza kutuvusha,sasa unataka mabadiliko yapi ndugu,vichwa vilevile,kutoka ccm mawazo yaleyale,ukosefu wa uwadilifu uleule ndugu,usiwe mfia chama, ama shabiki tu, angalia uwezo wa mtu,angekua slaa kweli ningesema mabadiliko kwani jamaa ni mwadilifu pia ni mpambanaji,sasa kichwa maji lowasa ataleta mabadiliko yapi,fikil mara mbili kijana mwenzangu.

Hivyo CCM ina watu wapya na waadilifu kuanzia lini?
 
Mbona Lowassa naye ameahidi mengi wakati na yeye alikuwa kwenye serikali hizo hizo tena, Waziri Mkuu!
 
Kiongozi yeyote kutoka ccm angeweza kuleta mabadiliko ya nchi baada ya kufanya mabadiliko makubwa ndani ya chama.

Mtakumbuka Kinana, Nape wakiwakilisha chama waliunga mkono maazimio yote ripoti ya escrow tegeta lakini akaja mwenyekiti wa chama akapinga baadhi ya maazimio.
hilo tu linaonesha mambo yafuatayo;
1. hakuna mawasiliano
2. hakuna timu ya wataalam kukishauri chama
3. siasa za chuki, hata likiwa jambo jema ikiwa limetoka upinzani lipingwe kwa kutumia idadi ya wabunge.
4. Unafiki, fitna, majungu na tuhuma bila kutumia kamati za maadili za chama kuwajibisha kama Prof. Tibaijuka, Chenge, Ngeleja
5. Viongozi wajuu kutokuwa na maamuzi yoyote hadi vikae vikao kulinda maslahi ya chama.

Mabadiliko makubwa anayohubiri Dr. Magufuli ni rahisi kuongea kuliko kutekeleza.
Kwa sababu utekelezaji wake utawafurahisha wananchi walio wengi na kuwaudhi watu wake wa karibu.

Mabadiliko anayohubiri Magufuli rahisi kutekelezwa na chama cha upinzani kuliko CCM.
Hayo anayotaka Magufuli yalizimwa baada ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine.
Mabadiliko ndani ya CCM haiwezekani, Katibu wako Mkuu ana tuhuma, ukigeuka huku kufungua mkataba wa umeme ni kumvua nguo aliyekukabidhi nchi.

HAIWEZEKANI MAJI KUPANDA MLIMA
 
Mabadiliko yanakuja watakaobakia ndio hao wataleta mabadiliko tena ya kasi na wanaondoka na kuhama ndiyo lilikuwa tatizo la kugawa chama.ccm sasa ni mpya fikiria kwa historia kwanza taa kisha tanu&asp na sasa ccm na shughuli kakabidhiwa asie na masikhara kuanzia sura yake na anayoyasema na kutenda magufuli leta mabadiliko
 
Nashangaa kweli UKAWA ambao kila.kitu kitakuwa kipya kwao,wafanye vizuri kuliko ambaye amefanya tukaona na sasa twataka aendeleze,hebu tuache kunogesha genge magufuli ni mtendaji,angelikuwa mwingine nisingelisema haya,lakini ukawa huyo alikuwa msaidizi wa karibu wa rais kipya kipi alifanya ndani ya miaka miwili ya uwaziri mkuu
 
Hakika yote aliyoyasema na kurudia kuwa atayasimamia kwa Magufuli ni Hakika na ukweli kwani Watanzania wanahitaji hayo na sio porojo leo wasema niki na kuaminisha Umma kesho wafanya tofauti yake tumeyaona

Watu inabidi waamini sasa kuwa siyo kila mwa CCM ni muongo. Na si kila mtu ni hivi na vile. Watu tuko tofauti kabisa na ndivyo alivyo Magufuli kuwa anatufaa katika kipindi hiki.
Tatizo la upinzani wale wanaongoza kwa sasa ni wale tuliowaweka na kuwajaribu na wakatuangusha kabisa kwa kuwa walikuwa na maamuzi yote (ex PM). Iweje leo watufae wakati wakiwa wamezeeka??? Mtanzania zinduka
 
Baba yako akiwa mgonjwa ndo humueshimu tena? Ccm ni yaka na ukoo wako. Enough ts enough.

Andika hoja wewe mwanamke, CCM ni ukoo wangu kivipi??? CCM ni chama cha siasa kilicho makini zaidi kuliko hivyo vyama vyenu visivyokuwa na dira wala principles. Huwezi ukailinganisha CCM na CHADEMA. Kwanza ni aibu kwa chama kama CHADEMA kukaa kwenye siasa za Tanzania kwa miaka 23 halafu kinakuwa hakina hata mgombea wa urais. Hawa ni wababaishaji tu. Ndio maana Mkapa amewaita viongozi wenu WAPUMBAVU na huo ndio ukweli. Miaka yote hiyo hamna mtu wa kumsimamisha kama rais mpaka msubirie OIL CHAFU kutoka huko huko CCM??? Hata ninyi mashabiki wa UKAWA akili zenu pia ni za KIPUMBAVU tu kama viongozi wenu.

Ni sawa CCM in changamoto zake lakini bado ndio chama pekee ambacho Watanzania wenye akili zetu timamu tutakipigia kura na kukirudisha madarakani sababu hakuna namna nyingine hapo. Hatuwezi kuwaweka watu wasiokuwa na uwezo wa kusimamia kauli zao wenyewe. Hivi wewe Ladypepeta kama mumeo hana msimamo, leo kaongea hili mara kesho kaongea kile, mara kafanya vitu tofauti kabisa na anachoongea, utasema una mume kweli??? Kuweni serious hata kidogo, UKAWA haifai na hawawezi kuongoza taifa hili. Viongozi lazima wawe ni watu wenye msimamo dhabiti.
 
ccm ni waongo.... wanawadanganya Watanzania kila baada ya miaka mitano...
Wanatoa ahadi wasizoweza kutimiza... wanatimiza wasiyoahidi kama vile wizi mkubwa kwenye akaunti mbali mbali za umma...
Wanatusababishia umaskini alafu wanatuita "wapumbavu na malofa"...

Sina imani na ccm tangia Nyerere alipong'atuka hadi leo hii... ccm ni pepo kama mapepo mengine tu...!!
 
Back
Top Bottom