Mkuu kwa uelewa wangu watu wa kaskazni ndio wana wito mkubwa kutaka kuwa mapadri au maaskofu kwa kiwango kikubwa kuliko sehemu yoyote hapa Tanzania,ndio maana unakuta mapadri wengi wanatoka sehemu hzo kwa hyo sio kama papa anaangalia kama anatoka kusin au kaskazn,yeye anachagua kutokana na sifa...
Mkuu vitu vingine sio kwanza kubishana nimekwambia Equatorial Guinea ni kama Switzeland ni kiimanisha kwa Africa ndio wananchi wake wenye kipato kikubwa kuliko nchi nyngine ni kama vile Switzeland au Luxemburg ulaya hz nchi ndizo zenye wananchi wenye kipato kikubwa ulaya nzima,sasa kama unataka...
Mkuu huyo ni mental tochadi hata waliosoma elimu yao haiwasaidii kaz kutetea magaidi kisa wa iman moja,kuna mwingine yumo humu ndani anajigamba ana degree lakn anatetea magaidi na user name yake ni jina la gaidi mkubwa baada ya Osama sasa mtu kama huyo si ameshakuwa tochadi siku nyingi bado...
Kuna watu wajinga sana kudhalau fani za watu wengine,duniani kila fani ina umuhmu wake awe sociologist,musician,teacher ndio maana kukawa na field tofauti,hatuwezi wote kuwa mainjinia au wanasheria kuna madaktari wataitajika kuwatibu na hao madaktari kuna walimu wa kuwafundisha,mi naona waafrika...
Mkuu huyo dogo amelelewa na mama yake mzazi na Baba yake wa kambo ambao ni waislam,alikutana na Baba yake mzazi karbuni na kumshawishi abadili dini kuwa mkristo lakn dogo aligoma na akaamua kumpotezea mdingi,mwisho wake ndio ameingia kwenye ugaidi,ishu sio jina la kikristo ishu hapa hakuwai kuwa...
Mkuu huo mchezo si wa makafiri,waanzilish wake ni makafiri wa Kijapan inakuaje waislam wacheze mchezo wa makafiri kwenye misikiti yao,hapo hauoni wanakwenda kinyume na mafundisho ya allah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.