Huyo mbowe wenu hana dvd wa nini hizo kampeni za kisiasa nyinyi watumwa wa akili kama kweli ipo kwanini asiionyeshe mpenda sifa yule muongo hana dvd hana nini hiyo ni siasa ya kutala umaarufu tu wake up
Huyo baa hamadi hiyo jumaapili akatote kipovu cha mdomo hiyo ni siasa tumeshamzoea mangapi ameshayasema kwenye mikutano mabadiliko gani yametokea huyo ni mwana siasa lazima na yeye aseme aonekanike kasema siasa za kiafrika haaaaa
Wanafiki nyie hamna lolote jaribuni fujo muone dunia nzima hakuna katiba inayokosa upizani hasa kwa wanasiasa uchwara hawatizami uzalendo kwanza mwananchi wa kawaida hasa vijijini hiyo katiba ya zamani hawajawaihi kuiona wala hawana habari na hicho kitabu kinachoitwa katiba nyinyi wanasiasa...
Nasikia kuna jiwe jeusi na baathi ya mabaki vitu vya zamani kabla ya uslamu kuwepo kwani hiyo alkaba ilikuwa inatumika na wapagani walikuwa walikuwa nipahala pa kutunzia miungu yao wapagani hao kabla ya uislam
Ww kakke nyinyi siku sote ni wanafki wabaguzi hapo mambo ya dini yenu hapo inaingiaje hapo ? Ndio maana siku zote nyinyi mnaubaguzi wa mna udini na unafki ndio maana kisiwa kisiwa chenu hakuna maendeleo sababu ya unafi ki ubaguzi ndio wenu hasa .
Ama kweli nyinyi mambumbu watumwa wa akili huyo mboe mwenyewe huyo Afrka kusini nyinyi huku vifuu tundundu mnataka kuvunjwa miguu kuweni na akili msiwe wapumbavu nyinyi wahuni na mnataka kutumia maandamano hayo na kufanya vurugu kupora vitu vya watu tu wezi wakubwa kama kweli yy mboe jemadari...
Wacheni uzuzu na kuchangiwa akili wanasiasa siku zote ni wauaji na nynyi mazuzu mnafata mkumbo mwenzu mboe anakula kuku na mkewe nyinyi keshakutieni vitanzi vya shingo mazuzu nendeni barabarni mkavunjwe migugu yy huyo marekani kwa familia yake wacheni kuwa watumwa wa akili kijambo unapoambiwa...
Huo ni uwongo kubainasha haki ipi labda yachuki baina yenu na watu wengine suni v/s shia kuchinja watu wasiokuwa na hatia nakumshirikisha Mungu na kuuwa wasiokua na hati halafu ww unajinasibu imeleta haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.