Mpaka sasa SIMBA na YANGA

Mpaka sasa SIMBA na YANGA

Status
Not open for further replies.
kweli hii ni mambumbumbu fc,sijui hizi faraja mnazitoa wapi!....Hivi mnajua kuwa tangu ligi ianze mikia haijapata ushindi wowote hata mechi za kirafiki??

Lakin pia ujue Taifa kubwa hata iweje huwa haitaki kuonesha unyonge kwa yeboyebo
 
Nimesave hiyo picha ili kesho nisipate shida ya kutania fans wa yeboyebo maana najua kesho lazima walie
 
kweli hii ni mambumbumbu fc,sijui hizi faraja mnazitoa wapi!....Hivi mnajua kuwa tangu ligi ianze mikia haijapata ushindi wowote hata mechi za kirafiki??

hata mm nawashangaa hapo tuu, kwenye ligi ni wabovu wabovu harafu kesho watarajie ushindi.
 
Mda unavyozidi kwenda YANGA haonyeshi dalili zozote za kurudisha magoli mpaka sasa SIMBA 3 YANGA 1 tuendelee kufuatilia tuone dk90 itakuwaje
 
Simba ndo habari ya mjini, nishafua na jezi yangu nasubiria mida nikaone mnyama anavyomtafuna mtu
 
Kama kawaida simba huwa hazungumzi Sana na hapendi masihara.ukifanya masihara anakumaliza.hivyo bac simba Leo anaua mtu
 
Mda unavyozidi kwenda YANGA haonyeshi dalili zozote za kurudisha magoli mpaka sasa SIMBA 3 YANGA 1 tuendelee kufuatilia tuone dk90 itakuwaje

Kama Umeweza Kutabiri Matokeo Hayo Je Umetabiri Na KIFO CHAKO PIA NI LINI? Wabongo Bana Ni FULL UPOPOMA. Mimi Simba Mwenzako LAKINI HAPA NILIPO YANAGONGA PICHU NA YANARUDI KWA MCHECHETO. Nami NATABIRI WATU WENGI SANA LEO K.U.N.Y.A Uwanjani!
 
Mi natabiri mashabiki wa simba watakufa pale taifa leo...
 
Kwani mechi inachezwa leo au kesho?! mbumbumbu change yua hedingi bwana
 
Wadau
...tiketi za hilo pambano zinapatikana wapi kwa sisi tuliyopo pande za Tabata Segerea?...
 
Mda unavyozidi kwenda YANGA haonyeshi dalili zozote za kurudisha magoli mpaka sasa SIMBA 3 YANGA 1 tuendelee kufuatilia tuone dk90 itakuwaje

Simba Leo anategemea miujiza tu asipigwe nyingi .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom