Hoja ni kwanini wapinzani wana tetea mafisadi ni kwamba kabla aija watetea alikuwa pamoja na serikali na aliitaji kwamba wafanye mambo kisheria ila akaonekana hana maana,, na akasema kwa kufanya hivyo serikali itagharimika tuka danganywa tutalipwa kumbe ni tutawalipa kama alivo sema mka mpuuza...
Ngosha anaonyesha zairi na ubaguzi wa ki chama na yy anaropoka tyu kwny ziara yake katiba kai kalia anaendesha gari hili kwa kutumia akili yake siyo sheria za barabarani tulijua tupo ndan ya basi kumbe tupo kweny lori
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.