Mkuu haya mambo huwafanywa katika nchi zenye uhuru wa kifedha na kiuchumi ila katika jamii zetu especially kwetu Africa, uniform ni moja kati ya mambo ambayo huleta usawa kwa wote i.e wale masikini kabisa na wale ambao walao wanajiweza . Zaidi ya yote, uniform ni Utambulisho.
Ooooy! Niaje wakuu,
Kwanza kabisa Nina furaha kubwa Sana kwa siku ya Leo kuonekana tena Jukwaani hapa Mara baada ya kipindi kirefu mno tangu Enzi zile za Kina Gentamycine, Nyani Ngabu na Genge lake na Wengine wengi.
Embu Leo waswahili tushirikiane katika kuandika zile Sounds/mistari/ maneno...
Kwamba kazi alofanya Philip ni Kubwa kuliko Robert?? Muziki umeufahamu lini?? Ulejendari wa Robert ni wakuto-fananishwa na kitu chochote katika Muziki.
Hii Trap mzee. Utapigwa tukuio hutokaa urudie tena. Wewe msaidie aende zake na uendelee kumfikiria huyo ulokua unamfikiria. Wanamake haswa hawa wakupatikana kwenye nyumba za Vileo na starehe sio wakuwaamini kamwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.