Recent content by Francis Mawere

  1. Francis Mawere

    Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

    Epuka Uongo na Janja janja. Be loyal.
  2. Francis Mawere

    Wakuu kuna mishangazi ina joto asikwambie mtu

    [emoji16] nyege zisipo kuulia mbali sijui kwa kweli.
  3. Francis Mawere

    Makapuku Forum

    [emoji16] sijui ni kwa nini mpaka Leo huu uzi hajawa Pinned Hapa Jukwaani. Mwandishi wa huu uzi hajawah onekana humu kwa muda mrefu au alibadili Jina.
  4. Francis Mawere

    Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

    Bocco ana game ya ngapi hajacheza?? muacheni mzee wa watu astaafu kwa amani. Kayatenda Mengi na Makubwa pale msimbazi.
  5. Francis Mawere

    Mwanza kutamu asikwambie mtu

    [emoji1787] Mwanza uende na Hela yako tu kila Pisi unapasua
  6. Francis Mawere

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu hii sio kamba??
  7. Francis Mawere

    Kuna uhusiano gani kati ya vitambi na ndoa?

    [emoji3061] Kuna sababu ya maana basi! Ni msosi tu. Ukiamka unakuta meza ishachafuka, ukikaa kidogo meza ishachafuka, ukiende chooni ukirudi unakuta meza ishachafuka, ukikataa kula unaambiwa umetokea kula kwa Malaya zako, basi kuepuka lawama unajikuta umekula umekua na kitambi
  8. Francis Mawere

    Hivi Madaktari hamna njia mbadala ya kupima njia ya uzazi ya mama mjamzito?

    😁 Ni Vidole Viwili na sio mkono, na Urefu wa Vidole sio issue, issue ni Njia imefunguka cm ngap kwa upana ? na sio njia tu inayo angaliwa,, na hali ya mlango wa kizazi na hali ya Nyonga kama inaruhusu mchakato mzima wa normal delivery/Kujifungua kwa njia ya kawaida.
  9. Francis Mawere

    Huyu mwamba ajengewe sanamu...!!!

    Caption ya Kibabe kabisa akaweka "You can take the salary" 😁
  10. Francis Mawere

    Dar: Soko la Mbagala laungua moto

    Ni nini Kipo Nyuma ya Pazia??
  11. Francis Mawere

    Moshi: Vijana watatu wa familia moja wauliwa na wanakijiji kwa tuhuma ya wizi wa pikipiki

    Matukio ya wizi wa Pikipiki na ukwapuaji wa simu Moshi yameongezeka mno, ndio maana wananchi wamejaa hasira vichwani mwao. Juzi kati tu chalii wa 20 Years alipigwa na Rungu kichwani wakamchukulia pikipiki yake na kusababisha kifo chake.
  12. Francis Mawere

    Kampeni ya kum-disqualify Diamond Platnumz BET Awards, tunahitaji mrejesho

    Kuna ile clip ya yule mzee akiwaelezea vijana wa sasa huku akitabasamu.. 🤣🤣
  13. Francis Mawere

    Wasanii wa kike wa Bongo Fleva ambao walitamba kisha wakatoweka

    wapi 1. VUMI 2. STARA THOMASI 3. RAY C 4. ERICA LULAKWA 5. K LYNE 6. KEYSHER
  14. Francis Mawere

    Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

    Kuna sababu kadhaa ni kwa nini huwa haishauriwi kuwapatia maji wagonjwa walopata ajali, na kwa nini hii hali.. Kawaida Mwili unapokua kwenye Shock, mzunguko wa damu hupungua katika mfumo wa chakula hivyo kufanya mfumo wa chakula kutofanya kazi ya ipaswavyo na kupelekea maji na chakula...
  15. Francis Mawere

    Stop dating mentally broke girls

    This point. KUDOS
Back
Top Bottom