[emoji3061] Kuna sababu ya maana basi! Ni msosi tu. Ukiamka unakuta meza ishachafuka, ukikaa kidogo meza ishachafuka, ukiende chooni ukirudi unakuta meza ishachafuka, ukikataa kula unaambiwa umetokea kula kwa Malaya zako, basi kuepuka lawama unajikuta umekula umekua na kitambi
😁 Ni Vidole Viwili na sio mkono, na Urefu wa Vidole sio issue, issue ni Njia imefunguka cm ngap kwa upana ? na sio njia tu inayo angaliwa,, na hali ya mlango wa kizazi na hali ya Nyonga kama inaruhusu mchakato mzima wa normal delivery/Kujifungua kwa njia ya kawaida.
Matukio ya wizi wa Pikipiki na ukwapuaji wa simu Moshi yameongezeka mno, ndio maana wananchi wamejaa hasira vichwani mwao. Juzi kati tu chalii wa 20 Years alipigwa na Rungu kichwani wakamchukulia pikipiki yake na kusababisha kifo chake.
Kuna sababu kadhaa ni kwa nini huwa haishauriwi kuwapatia maji wagonjwa walopata ajali, na kwa nini hii hali..
Kawaida Mwili unapokua kwenye Shock, mzunguko wa damu hupungua katika mfumo wa chakula hivyo kufanya mfumo wa chakula kutofanya kazi ya ipaswavyo na kupelekea maji na chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.