Recent content by Francis Mawere

  1. Francis Mawere

    Breaking news: Lipumba atimkia CHADEMA

    Siku ya Wajinga Duniani. Political bunting
  2. Francis Mawere

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Mkuu haya mambo huwafanywa katika nchi zenye uhuru wa kifedha na kiuchumi ila katika jamii zetu especially kwetu Africa, uniform ni moja kati ya mambo ambayo huleta usawa kwa wote i.e wale masikini kabisa na wale ambao walao wanajiweza . Zaidi ya yote, uniform ni Utambulisho.
  3. Francis Mawere

    Anayejua viwanja vya Bata Kibaha ambapo Kuna watoto wakali

    :Concerned: akili uliyotumia kuandika hapa nayo ni akili ya bata.
  4. Francis Mawere

    Wakuu TikTok imefungiwa Tanzania, yaani Total Ban hata kwa VPN?!

    Nikimwonaga mwanaume anatumia TikTok huwaga nawazaga sana mkuu.
  5. Francis Mawere

    Uswahili na waswahili. Mbinu za kivuta. Njoo jionee maufundi

    Una Dhani pesa na Sura yako ya mbuzi vitoto vya afumbili vitakuelewa?
  6. Francis Mawere

    Uswahili na waswahili. Mbinu za kivuta. Njoo jionee maufundi

    😁 hii ni ya zamani mno mkali. Enzi za wazazi wako
  7. Francis Mawere

    Uswahili na waswahili. Mbinu za kivuta. Njoo jionee maufundi

    Ooooy! Niaje wakuu, Kwanza kabisa Nina furaha kubwa Sana kwa siku ya Leo kuonekana tena Jukwaani hapa Mara baada ya kipindi kirefu mno tangu Enzi zile za Kina Gentamycine, Nyani Ngabu na Genge lake na Wengine wengi. Embu Leo waswahili tushirikiane katika kuandika zile Sounds/mistari/ maneno...
  8. Francis Mawere

    Dhuruma ni mbaya sana, Mpangaji aliyetaka kudhulumu nyumba yamemtokea puani

    Matumizi ya R kwenye L na L kwenye R. Tuzingatie matumizi sahihi ya herufi katika uandishi. Mnakera
  9. Francis Mawere

    Mwanza ni zaidi ya Lindi na Mtwara

    "Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi mnateketea kwa kuendekeza Umalaya". - Joseph Haule(Prof Jay)
  10. Francis Mawere

    Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

    Kwamba kazi alofanya Philip ni Kubwa kuliko Robert?? Muziki umeufahamu lini?? Ulejendari wa Robert ni wakuto-fananishwa na kitu chochote katika Muziki.
  11. Francis Mawere

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    Hii Trap mzee. Utapigwa tukuio hutokaa urudie tena. Wewe msaidie aende zake na uendelee kumfikiria huyo ulokua unamfikiria. Wanamake haswa hawa wakupatikana kwenye nyumba za Vileo na starehe sio wakuwaamini kamwe.
  12. Francis Mawere

    Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

    Epuka Uongo na Janja janja. Be loyal.
  13. Francis Mawere

    Wakuu kuna mishangazi ina joto, asikwambie mtu

    [emoji16] nyege zisipo kuulia mbali sijui kwa kweli.
  14. Francis Mawere

    Makapuku Forum

    [emoji16] sijui ni kwa nini mpaka Leo huu uzi hajawa Pinned Hapa Jukwaani. Mwandishi wa huu uzi hajawah onekana humu kwa muda mrefu au alibadili Jina.
Back
Top Bottom