Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, hali ya kisiasa hapa nchini imekuwa ni ya vuta nikuvute ndani ya vyama vya siasa ikiwemo CCM na CHADEMA. Kabla ya Mwaka 2013 kuisha, tumeshuhudia viongozi waandamizi wa CCM wakijaribu kujisafisha kwa kuwatoa kafara wale wanaowaita mawaziri mizigo ili...
Ikulu na Bungeni, kote ni mahala patakatifu ila wazandiki wamefanya kuwa pango la walanguzi. Siasa sio mchezo wa kuigiza bali ni maisha ya mtu ya kila siku. Kwakuwa ndio mfumo ambao unaongoza maisha ya raia wa nchi husika. Ikiwa Bunge ndio lina nafasi ya kutunga na kufanya marekebisho ya sheria...
Kitendo cha Dr. Slaa kufika katika vituo vya ITV alikuwa tayari kwa ajili ya mahojiano, akitegemea anakutana na Katibu Mkuu mwenzake na ndio maana alifika wala hakutoa udhuru kama Kinana alivyofanya maana Dr. Slaa naye ana majukumu makubwa ya kichama na kitaifa si kama unavyofikiria, kutokana...
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa Uislamu, na tunataka hilo alijue na likubali kwa dhati na alisimamie na ndiye kiongozi wetu. Alisimamie...
Ben Saanane hilo ni wazo zuri sana ila pia tukaenda zaidi ya hapo tukapata vijana wengine ambao pia wamejiunga na vyama vingine vya siasa ambavyo vina uwakilishi bungeni nao pia wakashiriki katika mdahalo huo. Mfano Cuf, NCCR mageuzi, UDP, na TLP. Hoja naona hapo ni vijana waliotoka CHADEMA...
Wanajamvi,
Wakati nikiombea amani ZANZIBAR hapo jana usiku saa 5:20, Roho wa Mungu alinipa ujumbe huu. Niyaseme kwa watu wote, nami natimiza kile nilichoagizwa;
''Kwa upendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu, kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' leo katika siku ya wapendanao ''Valentine's Day'' wameiadhimisha kwa kutembelea wagonjwa katika hospitali ya Mwananyamala ambayo iko katik Halmashauri ya Manisipaa ya Kinondoni. Matembezi hayo yaliongozwa na madiwani na viongozi wa jimbo na kata na...
Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' wapokelewa kwa shangwe na wananchi wa Dar es Salaam leo siku ya Jumapili kutokea Ubungo Riverside kwa pikipiki na magari mpaka kuelekea katika viwanja vya Temeke mwisho ambapo ulifanyika mkutano mkubwa wa hadhara. Maandamano ya mguu...
''Mwenye masikio ya kusikia na asikie''
Wana JF unaweza kuusikiliza waraka huu kupitia link ambayo iko hapo chin
<span style="color: rgb(51, 51, 51); font-size: medium; background-color: rgb(250, 250, 250);">
''Any people anywhere, being inclined and having the power, have the right to...
''Mwenye masikio ya kusikia na asikie''
Wana JF unaweza kuusikiliza waraka huu kupitia link ambayo iko hapo chini.
'
ENDELEA NA SEHEMU YA PILI HAPO CHINI
''Any people anywhere, being inclined and having the power, have the right to rise up, and shake off the existing government, and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.