francis jn
Member
- Oct 9, 2012
- 11
- 12
Makamanda wajitokeza kwa wingi kurudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi katika Jimbo la Kinondoni hapo jana. Nawasilisha
Bado sanaSafi sana kamanda...!
its high time kwa watu wanaojiita KINONDONI KWA WAJANJA...!! kutupa mbunge makini na mjanja...for the first time since independence. ..!!! sio ujanja tu wa kufanya mapenzi kwenye makaburi..! igeni ubungo..!!
lazima wajifariji sana mkuu, wanaelekea kuzimu.Bado sana
kati ya jimbo la ubungo na kinondoni lipi lenye maendeleo?
Hiyo fremu ndiyo ofisi ya CHADEMA mkoa?
Hicho kistoo ndio kinatumika kama ofisi?
Makamanda wajitokeza kwa wingi kurudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi katika Jimbo la Kinondoni hapo jana. Nawasilisha
View attachment 174456View attachment 174457View attachment 174463View attachment 174464View attachment 174468
Nyie mnazo, si mmeiba za umma.Hicho kistoo ndio kinatumika kama ofisi?