Recent content by frajomedia

  1. F

    JamiiForums Tanzania Rotaract Bukoba wasaidia zaidi ya familia 12 zilizokumbwa na tetemeko Bukoba

    jumuiya ya vijana inayojulikana kama The Rotaract of Bukoba imesaidia zaidi ya familia 12 zilizopo Bukoba kufuatia tetemeko la ardhi ambalo lilitokea Bukoba na kuwaacha wakazi kwenye umasikini mkubwa. misaada hiyo ililenga kwa wale wasiojiweza hasa wazee,kwa hali ambayo wameikuta wazee hao bado...
  2. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    hiyo mimba atabeba mpaka siku ya graduation?
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

    Ujenzi wa stend ukikamilika itakuwa vizuri sana kwa kukuza utalii maana sasa watalii wengi wanaokuja kwa bus wakifika stend ya Bukoba wanashangaa ilivyo na mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya. Mkoa WA Kagera umejaliwa kuwa na vivutio vingi sana vya utalii tembelea website ya www.kageratourism.com...
  4. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    Asante,huo ndio mkakati wetu na hivi karibuni utakuwa tayari,kuna mawasiliano Yetu hapo tumeweka,tunaomba usisite kutoa maoni na ushauri. Pia tuna Hamasa Talkshow uwa tunajadili fursa na changamoto.
  5. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    asante mkuu,lengo letu kuhamasisha jamii na kuwaelimisha kwenye mambo ya maendeleo,tuna kipindi cha Hamasa Talkshow pia,tunajadili fursa na changamoto kwa mkoa wa Kagera na Tanzania kwa ujumla.
  6. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    asante mkuu
  7. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    THANKS
  8. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    sio wote kila unachoandika wanajua ni utani
  9. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    pamoja
  10. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    Mwambie huyoo,
  11. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    Asante mkuu
  12. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    Na ili toleo la kwanza ungesema la Nani? Habari zetu hazibagui tunachoimiza ni maendeleo tu,
  13. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    Lengo letu kusambaza kanda ya ziwa nzima,tunaangalia namna ya kulisambaza lifike
  14. F

    JamiiForums Tanzania HAMASA Gazeti La pekee la kila mwezi mkoani Kagera

    asante,ndio tunavyofanya pia tunaongeza juhudi lifike wilaya zote na matangazo,ukiwa na ushauri usisite kutushauri kwa mawasiliano hapo juu
Back
Top Bottom