Recent content by frado

  1. frado

    Mwisho wa graphics designers huu hapa

    Ni vitu gani ambavyo vipo PHOTOSHOP au illustrator lakini CANVA havipo at the end, niliongeza umuhimu wa graphic designer kuingia katika CANVA na kuexplore opportunities za kuongeza vipato zaidi
  2. frado

    Mwisho wa graphics designers huu hapa

    Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao Ni ujio wa APP ya CANVA App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama...
  3. frado

    Mambo 4 ya kufanya Instagram kupata followers zaidi

    Profile visits ni idadi ya watu wanaotembelea ukurasa wako wa Instagram unaweza kuangalia kupitia insights kufahamu kuhusu profile visits kupima maendeleo ya ukurasa wako Ili kuwa na profile visits kubwa unapaswa kufanya mambo yafuatayo BIO OPTIMIZATION Hiki ni kitendo cha kutumia maneno...
  4. frado

    Elimu ya fedha ambayo BoT wanapaswa kuifahamu

    CASH IS NOT THE KING Najua wengi ni ngumu sana kuamini hiki ninachoenda kukiandika lakini sikuzote ukweli haufichiki na hata ambao wataamini naamini watashangaa sana, ukweli ni kuwa dunia ipo speed sana na kama bado hujui kinachoendelea basi nitaenda kuweka wazi kila kitu bila uwoga kuhusu...
  5. frado

    Vykingship wanatumia njia gani mzigo kunifikia Tanzania

    Ahsante sana, hii ina maana hawa wataleta mzigo mpka nilipo SINGIDA kwasasa ie fedex/dhl na price the same iliyoonekana katika calculator
  6. frado

    Vykingship wanatumia njia gani mzigo kunifikia Tanzania

    Habari JF Nahitaji kuagiza simu na mashine za kufanyia tshirt na cups printing kutoka USA na baada ya kufanya utafiti mdogo nikaona Vykingship kwa mizigo hii inafaa. Lakini Tatizo likaja je wanatumia njia gani mzigo kunifikia Tz DHL au posta? Kama kuna forwarding company nyingine nakaribisha...
  7. frado

    Je, hiki ni kiama cha ATM machine?

    Unaweza usiamini hiki ninachoenda kukiandika lakini nina asilimia 1000 hili jambo litatokea katika ulimwengu huu wa kidigitali. Nina uhakika kwa nchi kama Marekani na China ATM MACHINE hazitakuwa na matumizi tena miaka 5 tu ijayo. Ni wazi kuwa Marekani na china wanajaribu kutoka katika...
Back
Top Bottom