frado
Member
- Nov 26, 2020
- 8
- 23
Habari JF
Nahitaji kuagiza simu na mashine za kufanyia tshirt na cups printing kutoka USA na baada ya kufanya utafiti mdogo nikaona Vykingship kwa mizigo hii inafaa.
Lakini Tatizo likaja je wanatumia njia gani mzigo kunifikia Tz DHL au posta?
Kama kuna forwarding company nyingine nakaribisha ushauri pia
#fradofx
Nahitaji kuagiza simu na mashine za kufanyia tshirt na cups printing kutoka USA na baada ya kufanya utafiti mdogo nikaona Vykingship kwa mizigo hii inafaa.
Lakini Tatizo likaja je wanatumia njia gani mzigo kunifikia Tz DHL au posta?
Kama kuna forwarding company nyingine nakaribisha ushauri pia
#fradofx