Majungu na umasikini haviachani ni dada na kaka...panga matumizi ya pesa zako si za mwanaume mwenzako ..huu muda wa kazi si majungu..kawape wewe maskini Kwani umezuiwa...
Huenda president akawa na mapungufu lakini kuna mengi mazuri anatufanyia Kwa hiyo mimi nadhani tumshauri kwa utaratibu mzuri siyo kumtukana au kumdhalilisha kazi anayofanya ni ngumu sana na ni faida kwa Tanzania yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.