Pole zana kaka kwa yaliyokukuta, kiukweli co vzr na czan kama maadili ya kaz yanawafundisha ivo, ivi hawajui unapomkatisha tamaa mgojwa ya kuishi n tatizo kubwa? Hata kama mgonjwa anaweza kupona kutokana na maneno yao wanaweza sababisha mgonjwa akafariki hata kabla ya cku kwa sababu hata hizo...
Kama mambo ya sensa yalishapita ya nn tena kuyaongelea? Hamjui kuwa kutokana na maneno hayo next time wa sensa mtasababisha mgomo mkubwa wa waislam kukataa kuhesabiwa? Ebu kila kitu nmachofanya angalia effect yake kwa baadae hata kama effect itajionyesha baada ya miaka mingi, angalien kizazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.