mvuvihodari
Member
- Feb 16, 2013
- 92
- 12
chunga tamaa mbaya
Kutapeliwa kwingine jamani tunajilengesha wenyewe, mimi kama nauza vitu vyangu siwezi kumfuata mtu huko vichochoroni, yeye ndo anifuate mahali nitakapo muelekeza kama anahitaji ninachouza.
hii shida ya matapeli imekithiri na kila kukicha wanabuni mbinu mpya.
Kibaya zaidi mtandao huu ni mkubwa sana na wanashirikiana na watu wakubwa (wenye hela) ambao wanawasaidia hata kuwalinda wasikamatwe.
majuzi kati hapa mwishoni mwa mwezi january jamaa wa type hii hii walimliza mtoto au niseme ndugu wa kigogo fulani hivi kule mitaa ya surrender bridge... kilichotokea baada ya kugusa pabaya, walifuatiliwa hadi wanakofanyia mipango yao mitaa ya sinza, wakakamatwa na kukutwa pia na plate za magari yaliyoibiwa, machupa ya dawa za kitapeli, line za simu kibao n.k.
tz ni zaidi ya ujuavyo ..hawa jamaa saizi watakuwa washatoka.
Walifika na gari kwenye mabanda yangu ya kuku, wakamkuta kijana..wakasema wanataka kuku 100..wakalipa 450,000 lakini kesho yake tukagundua waliondoka na broiler 500 kwa laki nne na nusu badala ya 100...tulipofuatilia walifanyaje..tukaambiwa wanatumia uchawi. We have been careful since then, Mungu anatusaidia.
mpaka aibiwe mtoto wa kigogo ndio polisi wanafaya kazi yao eeh?!
Shortcut mbaya zina msimu oohh
Walifika na gari kwenye mabanda yangu ya kuku, wakamkuta kijana..wakasema wanataka kuku 100..wakalipa 450,000 lakini kesho yake tukagundua waliondoka na broiler 500 kwa laki nne na nusu badala ya 100...tulipofuatilia walifanyaje..tukaambiwa wanatumia uchawi. We have been careful since then, Mungu anatusaidia.