Recent content by Fortyseven

  1. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    vip Maxence Melo hujamzid GPA mbona unatumia JF yake???
  2. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    zawadi za peponi ni nini?????
  3. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    mm kwa apa nilipofikia ata mkikataa kula sijali aisee yaan ata tushiriki msiba wanafamilia tu na kuzika sijali kabisaaaa.
  4. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Na Allah anasema: “Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.” (Qur’an 23:12)...... elezea vizuri hii * tulimuumba** walimuumba yeye na nani?? kabla ya quruan allah alijulikana??
  5. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Ofisi za Serikali zipo lakini simu hazipatikani: Kero kubwa kwa wananchi wa Tanzania

    kwa hili TANESCO watoe aisee kama n huduma kwa wateja tanesco wako vizur mnooo ila kuna hawa RITA sijui HESLEB sjui tamisem na wengneo n hovyo hovyo sanaaa
  6. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    inbox kwamba ww una nini ndefu na n wakikee
  7. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    sikijui niambie dm maana sjawah ona mdada akisimamisha aisee.
  8. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    hahahahaha unadindisha kitu gani?? i mean kiungo kipi
  9. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    tobaaaa sasa jina mbn n leodadaaa
  10. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Leo asubuhi wazee niliokuwa nawaheshimu sana hapa Kijijini wamefanya jambo la hovyo sana; wameshindana kutangaza msiba. 🤔

    naww ungekimbia kuelekea kaskazini mkuu........wasingekupataa......maana ungewachenga kwa angle Thita
  11. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    mwenye kibali cha kula nyama za pori navojua mm n chaaba na dudukwe na familia yao tu...... kama ww sio mhadzabe yatakukutaa.🤣😅😂
  12. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Kama huu ni mwaka wa 6 wa kujitegemea dsm na bado unalala chumba kimoja na madumu ya maji na mengine hadi ndio umeegeshea sabufa, rudi tu malampaka.

    hatuwezi kuishi kulingana na utashi wa sentensi zako............usitupangie.
  13. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Yesu aliwezaje kuhubiria watu zaidi ya 80k bila kutumia kipaza sauti?

    ukijua n jinsi gan wafalme wa enzi izo waliongea na umma wao au viongozi wa jesshi waliwaamuru vip junior wao huwez pata shida kwenye biblia haijaandikwa maana haina msaada katika wokovu.
  14. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Masikio yangu yanaumia sana nikimsikia mtu anasema, "binafsi yangu" 😸😹

    binafsi yangu sikuelewi.
Back
Top Bottom