Recent content by Fortyseven

  1. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande azungumza na Wanahabari Aprili 28, 2026

    katika kukusanya habari zako zake za tume anakataa kuwa live afu mwishoni unataka uwe mubashara kwa uliowakatalia kukufatilia live apo mwanzon....!
  2. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu unafuata hesabu zilizotoka akilini mwa Binadamu? Vita kali dhidi ya Atheists Ep3

    ww nae n kiazi tu ulimwengu ufate hesabu za kibinadamu?? hivi ulimwengu na hesabu za kibinadamu nani alimkuta mwenzake??
  3. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    mafuta marekani huwa ni rahisi ?? kbl ya hormuz ilikuwa bei gan? twende na namba kabisa sio maneno.
  4. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Badala ya mafuta twende na daladala na magari ya serikal ya gesi na umeme

    Hivi ndugu zangu watanzania haiwezekani kwa wasomi tulionao hapa bongo au hata wa kuazima tukazibadili daladala zilizopo na magari ya serikali yatumie gesi asilia kuliko kutegemea mfereji wa Hormuz? Au kwanini serikali isipitishe sheria kuanzia 2030 magari na daladala malori na magari ya...
  5. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    kwa akili ya kawaida huwez kulinganisha bei ya mafuta na marekan kwan ile nn nchi ya ulimwengu wa kwanza maisha ni bora vibarua wanalipwa hela kubwa kuliko tz na bei za mafuta lzm ziwe juu sababu ya urahis wa kupata pesa hata mishahara ya marekan mbona huwa hailinganishwi na Tz...
  6. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi Watoto wadogo (under 18) kusoma Biblia bila uangalizi wa Mwalimu wa dini?

    ko ili uendelee kitecknolojia lzma kuwe na muingiliano???? na nani aliwakataza wasiwe na muingiliano na sababu zipi zilizopelekea muingiliano?? saiv ww unamuingiliano umegundua nn?? ww na atheist wenzio msiolemazwa na din?
  7. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi Watoto wadogo (under 18) kusoma Biblia bila uangalizi wa Mwalimu wa dini?

    kbla ya dini za wamishionary na waarabu africa mlifanya nn ktk science na technology??
  8. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Serikali iongeze umri wa kustaafu Kwa baadhi ya kada kutoka miaka 60 ya Sasa mpaka 65

    kufa uone kama pengo lako halitazibw faster sana .......una akili ndogo.
  9. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania TANESCO huduma kwa wateja hongereni sana kwa huduma nzuri

    kumbe ww n mr tanesco endeleeni ivo ivo msijegeuka mkawa kama RITA.
  10. Fortyseven

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    wajibu kwa kumpa mimba ya pili binti yao kisha umkatae........na mtoto akizaliwa aitwe M18. au hata M23
  11. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania TANESCO huduma kwa wateja hongereni sana kwa huduma nzuri

    zaidi ya mara 10
  12. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania TANESCO huduma kwa wateja hongereni sana kwa huduma nzuri

    Kipekee nipende kuwapongeza TANESCO upande wa huduma kwa wateja wako vizuri sana kuliko taasisi yoyote ile ya serikali (nadhani) wanapokea simu faster sana na kurespond. kama fire wangekuwa hivi tungefika mbali Halafu kuna RITA sasa hao hata namba iliyo kwa website yao haipatikani .
  13. Fortyseven

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

    ko ndo umeamua kunigenyesha daaah tabia mbaya tuuuu.
  14. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Siku za hivi karibuni ulinzi wa Makamu wa Rais umeongezeka

    mpiga ramli!
  15. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Bila Suzan S. Kaganda kuwa IGP, tugomee maridhiano Samia Suluhu na Watanganyika. Wambura ni Pandikizi

    ugome ww na nani goma pekeyako. siamin katika mfumo wa mtu mwema mu1 peke yake inaamana akifa ghfla je hakuna replacement yake? ndani ya jesh la polis kuna polisi wema wenye weled na wasomi kibao vile vile ndani ya jeshi la polisi kuna vibaka wabambika kesi...
Back
Top Bottom