Recent content by Fortyseven

  1. Fortyseven

    Bila Suzan S. Kaganda kuwa IGP, tugomee maridhiano Samia Suluhu na Watanganyika. Wambura ni Pandikizi

    ugome ww na nani goma pekeyako. siamin katika mfumo wa mtu mwema mu1 peke yake inaamana akifa ghfla je hakuna replacement yake? ndani ya jesh la polis kuna polisi wema wenye weled na wasomi kibao vile vile ndani ya jeshi la polisi kuna vibaka wabambika kesi...
  2. Fortyseven

    Taa ya matumaini yawashwa, Tume ya Rais ya maboresho ya Kodi yapendekeza kufumuliwa TRA na kufutwa Kodi 284 Ili Kufikia Uchumi wa Trilioni 2500

    jambo zuri sana Mama Presdent . ila kwenye tirion 2500 hata mimi hapa milembe nimeshtuka . lbda kama ni tirion 2500 after 200 years.
  3. Fortyseven

    Tulishindwa uwanjani kila mtu anajua-Ashraf Hakimu

    oooh kumbe hizi aisee zako nadhan ata buku zinafika.
  4. Fortyseven

    Tulishindwa uwanjani kila mtu anajua-Ashraf Hakimu

    komenti za huyu jamaa huwa zinanifurahish sana utasikia sawa sawa mara aisee kila koment aisee aiseee
  5. Fortyseven

    Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

    sijawah kuwasikia walokole waluther jehova witness wasabato wabudha kuwa wammeua !
  6. Fortyseven

    Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

    hoja n katolik kupenda haki.............aliyeua mamilion na mamilion je atapenda hqki je amekuwa kondoo je je je??
  7. Fortyseven

    Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

    hakuna kanisa katili kama catholic.....kanisa pekee lililoua mamilion na mamilion ya waprotestant .....lililotesa kikatili sana kuliko hata mateso ya mafwele kutoka karne ya 1 mpaka mwaka 1798........... kanisa katolik lazma liifatilie serikal maana lengo lake n kutawala watawala huwa...
  8. Fortyseven

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    mm niliyepata three ya mwishoni nikoment wap sasa misifa tuuu.....!
  9. Fortyseven

    Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    kama simba na yanga zilicheza mwanza kwanini zisocheze zanzibar??
  10. Fortyseven

    RC Chalamila: Uwa nashangaa kuona Wanafunzi Dar wanakaa chini wakati kuna DC na Ma-DED

    hivi zile milion 5 tano za magoli zisingeweza nunua madawati kwel na kutatua tatizo la kukaa chin?
  11. Fortyseven

    Nimeamua kuwa Atheist

    kama humuamini Mungu unakuwa mwema au unatenda wema ili iweje?? na ulijuaje huo ni wema?? na uovu ni upi ?? na kulingana na nn uuite huo n wema na huu n uovu ???
  12. Fortyseven

    Nimeamua kuwa Atheist

    imani hainaga 50 fifty au double chance ni hakuna hakuna au ndiyo ndiyo hili swala la kusema n bora uamin kuwa yupo alafu usmkute kuliko kuamini hayupo ukamkuta ni upagani.
  13. Fortyseven

    Nimeamua kuwa Atheist

    unataka wakuthibitishie Mungu yupo ili iweje???
  14. Fortyseven

    Nimeamua kuwa Atheist

    unakuwa mwema kwa viumbe hai ili iweje??
Back
Top Bottom