ugome ww na nani goma pekeyako.
siamin katika mfumo wa mtu mwema mu1 peke yake inaamana akifa ghfla je hakuna replacement yake?
ndani ya jesh la polis kuna polisi wema wenye weled na wasomi kibao
vile vile ndani ya jeshi la polisi kuna vibaka wabambika kesi...
hakuna kanisa katili kama catholic.....kanisa pekee lililoua mamilion na mamilion ya waprotestant .....lililotesa kikatili sana kuliko hata mateso ya mafwele kutoka karne ya 1 mpaka mwaka 1798...........
kanisa katolik lazma liifatilie serikal maana lengo lake n kutawala watawala huwa...
kama humuamini Mungu unakuwa mwema au unatenda wema ili iweje?? na ulijuaje huo ni wema?? na uovu ni upi ?? na kulingana na nn uuite huo n wema na huu n uovu ???
imani hainaga 50 fifty au double chance ni hakuna hakuna au ndiyo ndiyo
hili swala la kusema n bora uamin kuwa yupo alafu usmkute
kuliko kuamini hayupo ukamkuta
ni upagani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.