Hivi ndugu zangu watanzania haiwezekani kwa wasomi tulionao hapa bongo au hata wa kuazima tukazibadili daladala zilizopo na magari ya serikali yatumie gesi asilia kuliko kutegemea mfereji wa Hormuz?
Au kwanini serikali isipitishe sheria kuanzia 2030 magari na daladala malori na magari ya...
kwa akili ya kawaida huwez kulinganisha bei ya mafuta na marekan kwan ile nn nchi ya ulimwengu wa kwanza maisha ni bora vibarua wanalipwa hela kubwa kuliko tz na bei za mafuta lzm ziwe juu sababu ya urahis wa kupata pesa hata mishahara ya marekan mbona huwa hailinganishwi na Tz...
ko ili uendelee kitecknolojia lzma kuwe na muingiliano???? na nani aliwakataza wasiwe na muingiliano na sababu zipi zilizopelekea muingiliano??
saiv ww unamuingiliano umegundua nn?? ww na atheist wenzio msiolemazwa na din?
Kipekee nipende kuwapongeza TANESCO upande wa huduma kwa wateja wako vizuri sana kuliko taasisi yoyote ile ya serikali (nadhani) wanapokea simu faster sana na kurespond. kama fire wangekuwa hivi tungefika mbali
Halafu kuna RITA sasa hao hata namba iliyo kwa website yao haipatikani .
ugome ww na nani goma pekeyako.
siamin katika mfumo wa mtu mwema mu1 peke yake inaamana akifa ghfla je hakuna replacement yake?
ndani ya jesh la polis kuna polisi wema wenye weled na wasomi kibao
vile vile ndani ya jeshi la polisi kuna vibaka wabambika kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.