Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)......
elezea vizuri hii * tulimuumba**
walimuumba yeye na nani??
kabla ya quruan allah alijulikana??
kwa hili TANESCO watoe aisee kama n huduma kwa wateja tanesco wako vizur mnooo
ila kuna hawa RITA sijui HESLEB sjui tamisem na wengneo n hovyo hovyo sanaaa
ukijua n jinsi gan wafalme wa enzi izo waliongea na umma wao au viongozi wa jesshi waliwaamuru vip junior wao huwez pata shida
kwenye biblia haijaandikwa maana haina msaada katika wokovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.