Recent content by fortune lucas

  1. F

    Mbatia: Hauwezi ukafuta uchaguzi wa Zanzibar ukaacha uchaguzi wa Jamhuri ya muungano

    Ila ZEC nao si wa kuwaamini sana ...ivi c ndo hawa hawa wanauza hadi TV , AC, PASI, Microwave.....home appliances!! 😀😂😀😂😄
  2. F

    Migogoro ya ardhi

    Naomba kuuliza migogoro ya ardhi kwa mujibu wa sheria anaeitatua ni nani Mahakama za ardhi za kata na Wilaya au Waziri wa ardhi?
  3. F

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Nakala za tafiti zipo nyingi sana Deception ameweka pitia post za mwazoni utaziona mkuuu
  4. F

    Eti wenye cell hizi hawawezi kupata UKIMWI?

    Kupitia uzi huu leo nimekufunza kitu kipyaa kabisa.Hongera sana Deception
  5. F

    Watanzania tuna tatizo la kujieleza mbele ya vyombo vya habari

    Mimi nilikuwa naangalia,maswali aloyokuwa anaulizwa yalikuwa si ya kitaalamu sana lakini alikuwa anajikanyaga sana,maswali ambayo ata kama mtu akusoma IT alikuwa na uwezo wa kujibu.Kama wewe mwenye hujiamini nani sasa hatakuamini.
  6. F

    Msaada Samsung galaxy s4 kwa wenye utala

    Iyo ya laki 4.5 ni fake inasoma GSM only uwezi access 3G japo itadisplay 3G,
  7. F

    Watangazaji na Vyombo Vya Habari Mnamuona Salim Kikeke Wa BBC Swahili

    Mshahara mkubwa inakujenga kujiamini ila kama mshahara kiduchu wanaopewa watangazaji wetu lazma atangaze kwa mawazo kwa sababu anatangaza huku anafikiria foleni atarudi vipi na daladala mbagala au tegeta!
  8. F

    Moto waunguza mitambo ya Vodacom, wadhibitiwa!

    Shinyanga & Simiyu Region there is no network
  9. F

    keyboard ya kiswahili ndani ya ANDROID.......

    Thakx kichupa kipo pouwa sana!usumbufu aupo tena
Back
Top Bottom