Recent content by FORESEER

  1. FORESEER

    Prof kujiita "asiyefaa" ni unyenyekevu au kutojitambua?

    Huenda furaha ilizidi, na ndo maana wataalam wa falsafa wanasema ukiona una furaha sana ama huzuni ni vyema usifanye maamuzi yeyote
  2. FORESEER

    Vilio kwa wanafunzi ,Wahitimu wa Vyuo na Wafanyakazi

    Katika pita pita yangu mitaani nimekutana na wanafunzi wengi waliohitimu kidato cha sita wakilalamika kupandishiwa kiwango cha vigezo vya kujiunga Vyuo Vikuu kutoka daraja la ufaulu wa 'E' mbili (two principal passes) hadi D mbili hasa wa masomo ya Sayansi (PCM, PCB, PGM, CBA, CBG) na wengi wao...
  3. FORESEER

    Facts: Kwanini Rais Magufuli atashindwa vibaya

    Bado suala la Elimu nayo imefanywa kuwa ngumu kwa watoto wa maskini hasa wanao maliza kidato cha sita na diploma ufaulu umepandishwa ghafla pasipo kuwaandaa walengwa .
  4. FORESEER

    Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais ofisi za NEC Jumatatu tarehe 10 Agosti, 2015

    Nilikuwa Dodoma Leo nashangaa nguo za CCM zimejazana nje ya makao Makuu ya CCM ambavyo ni tofauti na miaka mingine ya uchaguzi huzikuti! Ama kweli kazi ipo
  5. FORESEER

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    Kuanzia Leo sitasikiliza Clouds FM
  6. FORESEER

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Kama yeye huyo pole pole hajawahi kutenda dhambi awe wa kwanza kumpiga na jiwe LOWASSA
  7. FORESEER

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Pombe mwisho bar mtaani kila mtu lowassa
  8. FORESEER

    Mtazamo mpya wa Lowassa na Urais wa Tanzania

    Chama tawala kina upofu ndo maana hakisomi alama za nyakati
  9. FORESEER

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Pombe mwisho bar mtaani ni Lowassa
  10. FORESEER

    Chadema:kila anaepigania chama akitaka kugombea ........

    Liwe funzo kwa wanasiasa wetu kumshambulia mtu badala yake ni vema washambulie mfumo wa kiutawala kama vile chama ama serikali pasipo kutaja majina ya watu hujui kesho mtakutana wapi.
  11. FORESEER

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Kushinda kura za maoni siyo kigezo cha kuwa mbunge October 25/2015 ipo kwa ajili yao hao maescrow
Back
Top Bottom