Recent content by Foreina

  1. F

    JamiiForums Tanzania Vyuo vinanvyofundisha diploma ya nursing - dar, moro au pwani

    Amani iwe kwenu. Naomba kufahamishwa juu ya vyuo vya Serikali na binafsi vinavyofundisha Diploma ya Nursing vilivyopo katika mikoa ya Morogoro, Dar es Salaam na Pwani. Nimepitia website ya Wizara ya Afya sikuona link ya kunipatia list hiyo. Any suggestion o? Tafadhali kama unajua chuo kimoja...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Gari ya Milioni nane au tisa

    Habari wanajamvi. Sina hakika kama hii ndio forum sahihi kwa ombi langu, km sivyo mniwie radhi. Mm nina shida moja ndogo. Naomba kufahamishwa kuhusu gari ya kununua. Mkononi nina milioni nane nimezipangia kununua gari haraka iwezekanavyo. Naomba kujuzwa kwa hela hiyo naweza pata gari ya aina...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Msichana mkubwa ana vititi vidogo sana

    wewe ni 'he' na sio 'she', kwa hiyo umemchungulia dadaako
  4. F

    JamiiForums Tanzania Msichana mkubwa ana vititi vidogo sana

    We nae unampenda dadaako nini? inaelekea unamchungulia mpk bafuni, maana umewezaje kuconcetret kwenye kifua cha dadaako na kugundua kuwa ana chuchu ndogo?
  5. F

    JamiiForums Tanzania Mchungaji wa loliondo ametumwa na Mungu yupi?

    Hoja hujibiwa kwa hoja si matusi. Aidha, wewe na wenzako wote msiosoma hoja mkaelewa nitajieni mtu mmoja ambae alipima akaonekana ana Virus na baada ya kunywa maji yale akapima tena na kuonekana hana virus. Na je hyo dawa ya babu yako inaweza kutestiwa kisayansi na kutumika hospitalini?
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mchungaji wa loliondo ametumwa na Mungu yupi?

    Sipingi na wala sitapinga wagonjwa kumiminika kwenda Loliondo kupata dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mch. Mstaafu Ambilikile. Lakini kama anayosema ni kweli basi Mungu aliyempa uwezo huo atakuwa ni Mungu ambaye mm simuabudu. Tujiulize ni Mungu gani atampa mtu kuponya watu na kumzuia mtu...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Ntigwiyahuligwa ngulinzila - udsm 2009
Back
Top Bottom