Habari wanajamvi.
Sina hakika kama hii ndio forum sahihi kwa ombi langu, km sivyo mniwie radhi. Mm nina shida moja ndogo. Naomba kufahamishwa kuhusu gari ya kununua. Mkononi nina milioni nane nimezipangia kununua gari haraka iwezekanavyo. Naomba kujuzwa kwa hela hiyo naweza pata gari ya aina gani? Sio ya kununua kwa mtu bali show room. Kuna show room yoyote inauza magari kwa bei rahisi? Naomben msaada wenu.
Sina hakika kama hii ndio forum sahihi kwa ombi langu, km sivyo mniwie radhi. Mm nina shida moja ndogo. Naomba kufahamishwa kuhusu gari ya kununua. Mkononi nina milioni nane nimezipangia kununua gari haraka iwezekanavyo. Naomba kujuzwa kwa hela hiyo naweza pata gari ya aina gani? Sio ya kununua kwa mtu bali show room. Kuna show room yoyote inauza magari kwa bei rahisi? Naomben msaada wenu.