Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 34
Habari, mabibi na mabwana
Nina mdogo wangu wa kike ambaye sasa ana umri wa miaka 21 na ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo kikuu.
Cha kushangaza mpaka kufikia hapo alipo ana matiti maduchu mnooooo kama vijipu-kama mtoto wa darasa la pili. Anapovaa blauzi kifua kiko flat kabisaaa.
Nina wasiwasi na hali hii, Je tatizo ni nini?
Asanteni
Nina mdogo wangu wa kike ambaye sasa ana umri wa miaka 21 na ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo kikuu.
Cha kushangaza mpaka kufikia hapo alipo ana matiti maduchu mnooooo kama vijipu-kama mtoto wa darasa la pili. Anapovaa blauzi kifua kiko flat kabisaaa.
Nina wasiwasi na hali hii, Je tatizo ni nini?
Asanteni