Pole sana,nunua ile dawa ya meno ya hawa jamaa wa Forever Living ni imetengenezwa na Alovera wanauza 12,000,mimi imenisaidia sana nina tatizo kama lako,na kuna dawa nyinine ya hebal inauzwa pale msikiti wa mtoro Kko nayo inasaidia iko simple sana unasukutua nayo kama mouth wash ni ya maji...
Ni privacy tu mkuu,kila mtu anasababu zake,lakini mwisho wa siku jibu halali ni Privacy,jaribu na wewe kuweka ndo utajua nini maana yake,ukitaka kupata maana juu ya Tint utapewa zaidi ya mia.
Achana na dhana potofu kuwa tint ni kama uhuni fulani.
Asante.
Ushauri wangu ni kuwa mpole na kuomba mungu,maana sasaivi dunia yote macho yanaangalia ndugu zetu wa japan,najua hali utakayokuwa nayo kama mfanyabiashara,ila ni kumuomba mungu tu maana kila alie kuwa japan yuko katika hali mbaya sana kipindi hiki na hawana umeme,na muda si mrefu wametangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.