Labda nweke clear, kuna jino lmetoboka af nlienda kwa dokta m1 akaniambia no way unaweza fanya jino lililo oposite na hlo listoboke. Na nmekuwa nkisikia kwamba kuna miti shamba ambayo inaweza enda ua wadudu na meno mengne hayawez endelea toboka.
POLE SANA KWA MATATIZO.
Nashauri nenda kwa dk wa meno ayatetabulika, kama upo dar, nenda muhimbili watakupima na kukushauri. uko wapi ndugu nikusaidie zaidi?
Pole sana,nunua ile dawa ya meno ya hawa jamaa wa Forever Living ni imetengenezwa na Alovera wanauza 12,000,mimi imenisaidia sana nina tatizo kama lako,na kuna dawa nyinine ya hebal inauzwa pale msikiti wa mtoro Kko nayo inasaidia iko simple sana unasukutua nayo kama mouth wash ni ya maji inauzwa buku tu.pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.