Recent content by Foffana

  1. Foffana

    JamiiForums Tanzania Aishi Manula alikuwa kipa mzuri sana. Kipaji chake kimeuliwa kabisa

    Mwenda mapepe yake tu au atakuwa kapewa mlungula kweli Yanga huwaga hatumind hizo mambo Mbona dogo Edmund alizingua game na Simba ya Muungano tukafungwa na bado yupo anakiwasha
  2. Foffana

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Hawa mighty wanderers wabovu kinoma
  3. Foffana

    JamiiForums Tanzania Dudu baya Vita dhidi ya ushoga mwisho wake ni kupotea kwenye uso wa dunia.

    Kuna siku Mkuu Kiranga alidai kwamba wengi wanakosea katika tafsiri ya ushoga Ya kwamba kuna watu hawapigwi miti na ni mashoga wengine wanapigwa miti na sio mashoga hakuingia deep sana kuhusu hili So naomba Mkuu Kiranga utupe darasa kidogo kuhusu hili jambo
  4. Foffana

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    Huu uzi 🔥🔥
  5. Foffana

    JamiiForums Tanzania Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

    Leo umemuweza Lwiva 😁😁
  6. Foffana

    JamiiForums Tanzania Nikiwa bongo , kuna nyumbu nilimpa namba zngu humu, akanichoma.

    Aisee 😁😁
  7. Foffana

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-0 Geita Gold | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 31-08-2026

    MoM Libasse Gueye wamemtangaza One Goal One Assist
  8. Foffana

    JamiiForums Tanzania Nitafanya kazi gani baada ya kumaliza kusoma?

    Seran anamwaga ajira za kutosha take home 1M+ hapo ushindwe wewe tu
  9. Foffana

    JamiiForums Tanzania Jamani wanawake wenye watoto badilikeniI

    Dahh nimekumbuka kuna Sister Mmoja alikuwa anatabia ya kumuacha mwanae katika Day care moja hivi akiwa na appointment na bwana wake Huyu sio Single mother ameolewa vizuri tu, mume wake ni mtu wa kusafiri safiri sana
  10. Foffana

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Duhh dharau kubwa sana waliyomfanyia bi mkubwa
  11. Foffana

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Uko sahihi viungo hatuna kabisaa na Alonso anajaza mabeki tu
  12. Foffana

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha hatuna kwa uchezaji huu na upangaji wa kikosi hata top 4 hatuingii Alonso ni takataka
  13. Foffana

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Alonso hamna kocha humu
  14. Foffana

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Viungo hatuna leo
Back
Top Bottom