Recent content by fnyoni

  1. F

    Viongozi wetu waone jinsi Watanzania wanavyopendana

    Asante Ole Mushi,umesema kweli, natamani ujumbe huu uwafikie wahusika. Ni kweli, watanzania tunapendana lakini wachache wenye madaraka, tena ya muda tu, wanabagua watanzania kwa mlango wa siasa. Mungu atusaidie
  2. F

    Kuiombea Nchi Amani Pasipo kusisitiza Haki ni Kupoteza Muda Wetu Bure!!

    You said it all. Let our leaders know that bila haki hakuna amani. Tuombee Haki amani itakuja tu. Hata Martin Luther King Jr alisema ''No Justice no peace'' huu ni ukweli usiopingika and only bias and unreasonable people can deny this truth.
  3. F

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    Hii nimeipenda sana. Hongera sana Waziri kwa kuonyesha uwazi ktk kazi. Endelea hivyo hivyo. Hakikisheni hayo matumizi ni halisi. You have our support and prayers!
  4. F

    CCM siipendi Lowassa simwamini

    Kweli bizplan shida tuliyonayo ni mfumo mbovu wa uwajibikaji. Watu wanalindana tu, hakuna kuwajibishana. Honestly Hata mimi namkubali JPM kwa utendaji, but nachukia sana mfumo wa CCM, napenda mabadiliko lkn bado ENL simwamini sana vile. Hebu wapambe wa pande zote watupe hoja zenye nguvu ili...
  5. F

    Kenyan & Tanzanian Surburbs

    Ni zaidi ya 50% kwa hapa Nairobi.
  6. F

    Kenyan & Tanzanian Surburbs

    We need to be frank, I'm from Tz living in NBI for the last 3yrs now. You can't compare Nairobi and Dar on suburbs development. NBI is far ahead. It all starts from the history. In Kenya, particularly Nairobi and its outskirts, few people owned/are owning big lands (acres and acres) which have...
  7. F

    Shida yetu kubwa ni Elimu isiyo bora

    I agree with you. Just to add on that, I believe that only Godly fearing Tanzanian will save this lovely country, otherwise we are doomed to fail. Mungu tusaidie..
  8. F

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    I like his story. Can you tell us more of what he has achieved so far as an MP?
  9. F

    Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

    Nimeoma point yako mkuu. Ni Watanzania ndio wanapata hasara wasipo ruhusu dual citizenship. Kwa hiyo ni naona kama tz wanakataa mzawa kuwa na urai pacha basi wazuie mgeni yeyote ambae kwao kuna uraia pacha asipate uraia tz which is not possible.
  10. F

    Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

    Mkuu, The data shown is for the top 10 countries where TZ is not in the list.
  11. F

    Katiba Mpya na Serikali Tatu: Warioba amvaa Gharib Bilal kwenye kikao, hali yachafuka...

    Kwa namna hii moto utawaka kwenye bunge la katiba. Tunahitaji kumwomba Mungu awape hekima hao wabunge. Awafungue macho waone kama Mungu anavyoona juu ya hii nchi. Help us God! Tunahitaji amani tupate Maendeleo ya kweli.
  12. F

    Kwani CHADEMA inahitaji back up ya waislam ili kwenda ikulu?watuachie uislam wetu wafanye siasa zao

    Mods, is this correct? "Mohammed is God's apostle. Those who follow him are harsh to the unbelievers but merciful to one another" Quran 48:29
Back
Top Bottom