Kwa kawaida misingi bora ina patikana kwenye muungano wa vyama vya UPINZANI. Kama propaganda ni uhai wa watanzania basi chagua chama chenye propaganda. Kama una hisi mabadiliko ni mwanzo wa maisha ya watanzania walio wengi bas elewa kuna haja ya kubadili misingi iliyo kuwa ya kiunyonyaji na kutengeneza fikra mpya.
Namchagua LOWASA kwa sababu ni FISADI ndiyo kwa tuhuma zake na mapungufu yake sawa, lakini mfumo anao kuja nao ni mfumo dhahiri katika kubadili fikra zetu kutuondoa katika karne hii ya umaskini uliokithiri.
Cmchagui Magufuli kwasababu yeye nae anahusishwa na tuhuma mbali mbali pia na anamapungufu pia ila mfumo anao kuja nao kiujumla ni una MAFISADI wengi na wengine ni viongozi wa juu kabisa...
SABABU:
Kura yangu ya URISI ni UKAWA
1. Ni watanzania wenzangu
2. Wanapenda na kuhubiri mabadiliko
3. Changamoto nyingi hususani katika muunganiko wao (Sio rahisi kuungana kwa vyama pinzani lacuna wamesimama kidete inge kuwa CCM wangeweza)
4. Wako kikazi zaidi na sio kimaslahi. (Kusimamisha mgombea mmoja)
5. Hawana UCHU wa madaraka kama ndugu zangu wa CCM katika ubunge tu ilikuwa shida.
6. Wanatumia akili kufikiri na kufanya utafiti wa kina. (CCM wao wana tumia uzoefu na ukongwe so hawanajipya)
7. Hawana uzoefu na uongozi lakini ni wasomi na wanaweza kutumia usomi wao kubadili fikra za walio wengi.
8. Huwaendeshwi kimatukio ni watu wail jipanga kweli kweli.
9. Wanafisadi mmoja tu na anaye tuhumiwa tu. (CCM cjui wako Mafisadi wangapi jibu mwenyewe ...............)
10. Ni maskini wenzetu ndo maana wameanzisha kampeni ya uchangiaji mitandaoni. (CCM wanaharibu kodi za wanainchi kununua wananchi kwa kiasi cha fedha ilikukwamisha juhudi za upinzani.)
11. Wana haki na wajibu wa kuongoza tanzania kwa kuwa TANZANIA sio mali ya CHAMA kimoja.
12. Tanzania ni ina Misingi ya KIDEMOKRASIA ko ni dhahiri kuwa na utawala wa vyama vingi.
13. Hata mtoto anapiga hatua ni kweli TANZANIA ina piga hatua kwa maana hiyo hatutaki undugu kwenye uongozi.
14. Tunahitaji MABADILIKO kwa maana hiyo CCM ndiyo mabadiliko ya kweli? eeeh? FUNGUKA
15.Nguvu na uwezo wa hoja na vitendo pia. Kuibua uovu wa chama tawala unahitaji wapinzani kulisemea hilo, so nadhani wana haki ya kupewa dola
CCM ni chama TAWALA, Lakini kwa WINGI wa MAFISADI na PROPAGANDA FEKI. ni DHAHIRI wanaonesha KIFO chao mwaka huu.
UKAWA muunganiko wao na wenye nia ya KUTAWALA na wana FISADI Mmoja na wenye MISINGI BORA na walioweka KAZI mbele MASLAHI nyuma. Ni KWELI MMENISHAWISHI vya kutosha mnaweza oongoza watanzania.
HAKUNA MTU KAMILI DUNIANI. HATA MAG...OFULI nae haaminiki maana HATA M.KEWE haelewani nae. So halo simwamini kabisa katika kuuongoza familia.