duu! ila ndo ndoa za kisasa zinavyoendeshwa inauma lakin no way out, huwezi mtambua mtu ka kumwangalia tu. Unamsamehe madam alishajua uchafu wake umejulikana kama ana akili timamu atajirekebisha.
Mhh! unawashauri ambao hawajaingia kwenye ndoa wasiingie! unataka kutwambia baada ya kuachana na huyo bibie utaishi pekee milele! pole lakini mshirikishe Mungu anaweza kukusaidia katika hili pia.
He!!! kwani huyo mke wanaenda kuishi nao wao au wewe!! makabila mengine bwana! na kwa taarifa yako badilisha eti ka saabu ya ukabila uone utakavyojuta maisha yako yote.
mijianaume mingine bwana!!! halafu mijitu kama wewe ndo badae huwa mnaaribu ndoa za wapenzi wenu wa zamani kwa sababu zisizo za msingi kama hizi!maana yakisha wakuta mnakuja na mimachozi mnamwaga beseni linajaa eti hamkujua! pumbavu zenu wanaume wote wenye tabia kama hizi! hivi unajua huyo mamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.