Dola, mahakama na inec ndo mbeleko yao tu, welevu wachache ndani ya ccm ndo wanajitahidi hizo mbeleko wasizikose maana wanajua wakizikosa tu hawana kitu tena.
Lissu Mungu akimpa afya njema na uhai ninaamini ipo siku atakuwa namba Moja wa taifa. Anayofanyiwa hata ungekuwa niwewe na unasali kiasi gani lazima kuna muda Unaweza ukawaza kulipiza tu. Namuombea siku ifike awe namba moja, lakini asilipize bali asali "BABA YETU ULIYE MBINGUNI " na aitekeleze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.