Mtoto akibebwa huangalia kisogo cha *****, tunaangalia visogo vya waliotuletea dini. Uislam umeletwa na waarabu na ukiristo umeletwa na wazungu. Tumepoteza kujitambua na kujipenda kwa asili zetu, watwana.
Ungemwambia waTz ni watu wasomi (analytical) na usidhani wanaijua kenya tu nchi kibao wanazijua. Aini usiamini wengi wako hivyo (pasive) kwani mimi nilienda Enuggu watu kibao hawaijui Tz!
Kaulize dukani mfano pale posta mpya duka la Car & General vitu vyao huwa ni madhubuti (genuine) si kama za India street na kariakoo ambazo ni disposable
.
Wazo ni zuru sana, mipango ikikamilika itolewe account no. ya mitandao ya cmu au benki ili tuweze kuchangia kupitia account hizo. nipo tayari kufanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.