Jamani binadamu wote ni sawa, kuwa kiongozi mkubwa hamanishi kuwa ubinadamu wako umeondolewa. Binadamu anazo weakness na strength zake. Hivyo siyo kila alichofanya baba wa taifa ni sahihi.
Kila mtu ana uhuru wa kuonyesha hisia zake, isipokuwa asivunje sheria za nchi. Wengine wanaweza kupiga vigelegele/kuimba au kushangilia. zote hizi ni mbwembwe za kampeni. ciyo mara ya kwanza, ila ninavyoona namna walivyomsema lowasa na tabia yake ya uvumilivu, inawafanya watu wamwone ni mtu wa...
Kama ni kweli haya yote ina maana tumekuwa hatuna serikali tangu miaka ya tisini, kama mtu anaweza kuwamilikisha watu mali ya umma inatisha, hizo ni propoganda tu. serikali hafanyi kazi namna hiyo
Bajeti 23 trilion, makusanyo 13 trilion, deni la taifa 40 trilion, atajenga viwanda nani?. Umeme tu umetushinda kuwawezesha watu wenye bishara ndogo ndogo sembuse viwanda? ambavyo hakuna plan
MTANZANIA YOYOTE ANAYO HAKI YA KUCHAGULIWA/KUCHAGUA. HIVYO WANANCHI WATAAMUA NI NANI WANAMTAKA. KUNA KATABIA KA BAADHI YA WATU KUJIONA KUWA wAO WANA HAKI KULIKO WENGINE. LAZIMA HILI LIONDOKE
Ni Lazima wadau wote wajue jinsi mfumo unavyofanya kazi, na pia lazima kuhakisha kuwa hakuna data yoyote ya system kujiridhisha. Uwezi piga kura nakuacha kulinda kura zako
Jamani kuna utawala wa sheria, ciyo rahisi kama anavyodani, labda atuambie atanzisha mfumo wa kuanisha mapato ya kila mtanzania ili kuweza kuwa na uwezo wa kufuatilia mapato yasiyo halali, Siku hizi kuna sheria labda aanzishe ile opereshi ya kukamata malanguzi kama ya sokoine ya mwaka 1984? Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.