Walimu wa chuo kikuu wamekuwa makada wa ccm, wanajipanga kupokea rushwa ya vyeo toka kwa pombe. Namshukuru M/Mungu kwa kuninyima nafasi ya kwenda kupoteza muda kwenye vyuo hivi
Nimesikiliza hotuba yote, lakini kile kipande cha human face kwa wananchi wa mwanza kinasumbua sana. Tena ameenda mbali sana kwa kuagiza mawaziri zaidi ya wa3, kufind njia mbadala. Kuna watu wana stop order, lakini serikali hii, doesnt care
Ujinga kumtetea huyu mbaguzi, anatupeleka Rwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.