Hbr za kupeluz wana jf! Najtokeza kwa mara ya kwanza ktk jukwaa hili nikitafuta mwanamke wa kumuoa. nina miaka 33, nina diploma ya marketing, muajiriwa, mkrito,mtulivu, mcha Mungu.
Sifa za mwanamke nimtakae, mcha Mungu, mwenye mapenz ya dhati, mkristo, elimu yyte. kwa mwenye nia ya dhat anipm plz.