Sijajua ni wapi ila kwa anaepahamu kitonga atakubaliana na Mimi. @ watu8
Ni kitonga hapo mkuu napita mara nyingi hapo ni km hatuo kumi kutoka kwenye mbuyu mkubwa tena huyo dereva alikuwa anakwenda Dar kaipigia upande wa gema kahama upande wake akaiangushia upande wa gema maana upande wake ndio kuna bonde nikikusaidia kdg mkuu angalia hiyo barabara ni zege sio lami ni kitonga hiyo